Nisamehe popote ulipo

Nisamehe popote ulipo

Kwenye mahusiano kuna manyanyaso mengi sana
Imagine mtu anayekuvulia chupi unamsave jina kama hilo!anagundua hilo na wewe bado hutafakari hisia zake bali nyege zako
Kafunga safari toka mbali kakufuata...achana na yote ya ugomvi alihitaji nauli kama mhitaji mwingine yeyote yule
Kuna watu mna roho ngumu sana mimi nisingeweza kufanya huu unyama
Kuna viumbe makatili sana acha rafiki!
 
Kabla hujamfanyia ubaya mwenzio fkiria yakikupata wewe? Ukweli unatakiwa ujifunze roho.nzuri, dunia hii sio ya kumfanyia mtu tena mwanamke hivo
 
Back
Top Bottom