Nisamehe popote ulipo

Nisamehe popote ulipo

Nifah, usichukie mdada mzuri.

Kama ni ukatili aliunza yeye maana alishawahi kunipigia kelele za mwizi kisa nimemfuma na Jamaa sema kufahamiana na nilikuwa mtu poa kwa majirani zake pale nikasaidiwa.
Kwenda zako bwana,usilipe ubaya kwa ubaya.
Wewe una roho mbaya,ulimkomoa baada ya kunyimwa ulichokitaka na sio kwa sababu hii unayoileta sasa.
 
Habari zenu wakuu wa MMU. Ni matumaini yangu kuwa mko poa wote.

Lengo kubwa la kuanzisha huu Uzi ni kumuomba msamaha ex gf wangu tulieachana nae mwaka 2014.

Sio kwamba nataka turudiane bali ni kwa lile tukio lilotokea pale MSAMVU STAND baada ya kuwa tumegombana tukiwa Logde moja hivi nyuma ya msamvu.

Tuligombana baada ya kukuta nimemsevu mzinguaji na ukaamua kuninyima haki yangu( Papuchi) na kila nilipokuwa nataka kumshika au kumpapasa alipiga kelele na kupelekea wahudumu wa lodge kuja kutugongea mlango na kutushauri tuwe na ustaraabu kidogo tukiwa tunamega tunda kumbe hata sio kelele za kumega tunda.

Baada ya kama nusu saa hivi bila mafanikio yoyote niliondoka pale lodge kwa hasira sana nikielekea stand nipande daladala nirudi home.

Nikiwa natembea kwa unnyonge wa kunyimwa papuchi kisa tu kuseviwa MZINGUAJI nikasikia sauti toka nyuma ikiita mike..mike..Mike please naomba unisikilize.. kugeuka ni ANNA a.k.a madam. Bila hiana nikasimama ili nijue anataka kuniambia nini.

Akasogea karibu yangu ila akiwa amejawa na uso wa huzuni na majonzi..ndipo aliponiomba nimlipie nauli ya kurudi Dar na kunihakikishia kuwa hawakuwa na nauli hata shilingi moja nilifurahi kusikia hivyo nikakumbuka ule msemo kuwa "ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu"

Nikamwambia twende stendi usijali nitakulipia ingawa moyoni mwangu sikutaka nimlipie bali nimkomoe tu. Baada ya kufika stendi nikamwambia kana hapa ngoja nikatoe hela M-PESA nakuja ili tulipe nauli usepe.

Mtoto akanielewa na akawa ameketi kwenye kiti cha abiria katika kibanda cha kukatia tiketi kumbe ile ilikuwa ni gia ya kuondoka kwenda nyumbani na kumuacha pale. Alipiga sana simu nyingi lakini sikuona kama zina umhimu wowote kwangu maana alinidhalilisha sana.

Hivyo basi, mpaka leo hii sijui alifikaje mjini Daslam au alikuwa tu analeta ujanja wake ili nimlipie nauli wakati ameninyima papuchi.

Mwisho, najua sana uko humu wewe binti mzuri ANNA na unapendelea sana MMU. ukisoma thread hii nitafute kwa namba ileile tuombane msamaha vizuri.

Mike.
Dah.... embu kusanya mitusi yote ya nguoni na ya ndani na nje ya nchi ya kilugha chenu na ya kiswahi... na ujione nimekutukana hayo...

1. Papuchi si kila kitu, utu kwanza
2. Hasira hasara, kama yangemkuta yakumkuta huko njiani ungesakwa hadi upatikane....

Next time usimfanyie hivyo mtu... IMAJINIII DADA YAKEO AFANYIWE NA MTU HAYO HALAFU WEWE USIKIE UNGEFANYA NINI?

By the way, yote kwa yote, HONGERA KWA KUOMBA MSAHAMA... NA INAONYESHA UNAMFAHAMU HUYO MDADA KWAMBA YUPO HUMU.... mfuate inbox kayamalize huko na ulipe na faini.. ahahahaahahaa

HALFU UACHE NAME CALLING... MIKE SIJUI ANNA....
 
Dah.... embu kusanya mitusi yote ya nguoni na ya ndani na nje ya nchi ya kilugha chenu na ya kiswahi... na ujione nimekutukana hayo...

1. Papuchi si kila kitu, utu kwanza
2. Hasira hasara, kama yangemkuta yakumkuta huko njiani ungesakwa hadi upatikane....

Next time usimfanyie hivyo mtu... IMAJINIII DADA YAKEO AFANYIWE NA MTU HAYO HALAFU WEWE USIKIE UNGEFANYA NINI?

By the way, yote kwa yote, HONGERA KWA KUOMBA MSAHAMA... NA INAONYESHA UNAMFAHAMU HUYO MDADA KWAMBA YUPO HUMU.... mfuate inbox kayamalize huko na ulipe na faini.. ahahahaahahaa

HALFU UACHE NAME CALLING... MIKE SIJUI ANNA....
Well said.
 
Somo tu kwa wadada, kama Huna ka-hela kako baki tu nyumbani kwenu. Umealikwa dinner sijui ndo unasafiri kwenda kwa baby, please please beba kahela kako ka-akiba. Usije ukadhalilika mikoa ya watu bure ukaishia kuolewa usiku na mateja. Maana kuna wanaume na wa-kiume/ wavulana. Unawezaona mnapendana wee kumbe mwenzako anakuona tu "mpitaji" tu anakutegea tu akukomeshe.

Mtu akikukosea kama vipi mpotezee tu, kuna vitu unaweza fanya kama kulipiza, afu yakaharibu maisha ya mwenzako completely, utajisamehe kweli?
 
Kwa namna ulivyofanya huo uhayawani....
Hata kama huyo mwanamke ana roho ya namna gani hawezi akakusamehe
 
ww utamsavu vp.mtu vibya tena.mwenzi.wk. hilo.ni kosa kubwa.sana hr.ungesevu.jina.lake.usirudie tena halafu hukutambua kosa lk ni heri.basi ungempa naul never repet.again
 
Habari zenu wakuu wa MMU. Ni matumaini yangu kuwa mko poa wote.

Lengo kubwa la kuanzisha huu Uzi ni kumuomba msamaha ex gf wangu tulieachana nae mwaka 2014.

Sio kwamba nataka turudiane bali ni kwa lile tukio lilotokea pale MSAMVU STAND baada ya kuwa tumegombana tukiwa Logde moja hivi nyuma ya msamvu.

Tuligombana baada ya kukuta nimemsevu mzinguaji na ukaamua kuninyima haki yangu( Papuchi) na kila nilipokuwa nataka kumshika au kumpapasa alipiga kelele na kupelekea wahudumu wa lodge kuja kutugongea mlango na kutushauri tuwe na ustaraabu kidogo tukiwa tunamega tunda kumbe hata sio kelele za kumega tunda.

Baada ya kama nusu saa hivi bila mafanikio yoyote niliondoka pale lodge kwa hasira sana nikielekea stand nipande daladala nirudi home.

Nikiwa natembea kwa unnyonge wa kunyimwa papuchi kisa tu kuseviwa MZINGUAJI nikasikia sauti toka nyuma ikiita mike..mike..Mike please naomba unisikilize.. kugeuka ni ANNA a.k.a madam. Bila hiana nikasimama ili nijue anataka kuniambia nini.

Akasogea karibu yangu ila akiwa amejawa na uso wa huzuni na majonzi..ndipo aliponiomba nimlipie nauli ya kurudi Dar na kunihakikishia kuwa hawakuwa na nauli hata shilingi moja nilifurahi kusikia hivyo nikakumbuka ule msemo kuwa "ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu"

Nikamwambia twende stendi usijali nitakulipia ingawa moyoni mwangu sikutaka nimlipie bali nimkomoe tu. Baada ya kufika stendi nikamwambia kana hapa ngoja nikatoe hela M-PESA nakuja ili tulipe nauli usepe.

Mtoto akanielewa na akawa ameketi kwenye kiti cha abiria katika kibanda cha kukatia tiketi kumbe ile ilikuwa ni gia ya kuondoka kwenda nyumbani na kumuacha pale. Alipiga sana simu nyingi lakini sikuona kama zina umhimu wowote kwangu maana alinidhalilisha sana.

Hivyo basi, mpaka leo hii sijui alifikaje mjini Daslam au alikuwa tu analeta ujanja wake ili nimlipie nauli wakati ameninyima papuchi.

Mwisho, najua sana uko humu wewe binti mzuri ANNA na unapendelea sana MMU. ukisoma thread hii nitafute kwa namba ileile tuombane msamaha vizuri.

Mike.
HILI MBONA KAMA LILE TANGAZO LA CHAI JABA LILE!
 
Somo tu kwa wadada, kama Huna ka-hela kako baki tu nyumbani kwenu. Umealikwa dinner sijui ndo unasafiri kwenda kwa baby, please please beba kahela kako ka-akiba. Usije ukadhalilika mikoa ya watu bure ukaishia kuolewa usiku na mateja. Maana kuna wanaume na wa-kiume/ wavulana. Unawezaona mnapendana wee kumbe mwenzako anakuona tu "mpitaji" tu anakutegea tu akukomeshe.

Mtu akikukosea kama vipi mpotezee tu, kuna vitu unaweza fanya kama kulipiza, afu yakaharibu maisha ya mwenzako completely, utajisamehe kweli?
Ushauri mzuri Heaven Sent,ndiyo maana nakupenda sana.

Tafuta comment ya MSHANA JR.

Nilichokiandika pale ndiyo utajua kati ya Mimi na ANNA nania alikuwa muuaji.
 
Ushauri mzuri Heaven Sent,ndiyo maana nakupenda sana.

Tafuta comment ya MSHANA JR.

Nilichokiandika pale ndiyo utajua kati ya Mimi na ANNA nania alikuwa muuaji.
Muuaji, mbona ulimrudia tena? Mtakufa kabla ya siku zenu kisa kuendekeza papuchi. Ulimshamsamehe ila kwa sababu aligoma kukupa mzigo ndo ukataka kumkomesha.
 
Back
Top Bottom