Kijivi/mdumange
Member
- Jun 9, 2013
- 7
- 0
Af et i love u dady.
Wife hebu njoo huku....
pole sana ila fata ushauri kama walivyokwambia wenzangu waliotangulia.
kabla sjarusha hii thread niliongea nae kwa simu kama kawaida nikamwambia nataka nje nikutembelee akajibu sawa karibu ntafurahi sana coz nimeku-miss and all that.
wewe huna pesa tafuta pesa hivo vi10,000 usimuchoshe mutoto wa watu
Usipoteze muda, muweke pending. Tafuta mwingine ambaye atautuliza moyo wako. Wengi hatujui thamani ya kupendwa,ukiona unapendwa basi unajiona cake. Anayekupenda huwa hana vituko vyote hivyo, anza kuishi kama vile hayupo, utaona furaha yako iliyopotea inarudi.
kutochovya muda mrefu kuna mfanya mtu kuwa na stress sana?
Hujambo Da Sophy?
Acha vijana wapendane bwana. Biashara ya ngono tufanye sie vikongwe manake maji yanakuwa yashazidi unga na moto.
Sijambo alhamdulillahi.
Huku nahusikaje? Nishamaliza hatua hii kitambo, sasa nalea na mmoja yuko shule tayari. Wa biashara ya ngono muogopeni Allah mwezi mtukufu huu jamani.
Kwavile umetaka kujua nitakujuza. Niko nae anajifunza kufunga, jioni twafuturu pamoja. Allah atamwongoza njia ya haqqi na ipo siku atasilimu inshaallah.