E.l.ve
Senior Member
- Dec 5, 2012
- 134
- 22
Pole, naona dalili za manyoya. Mchunie mwezi mzima, akipiga wala usipokee uone kama atakuhangaikia.
Ukiona hahangaiki jua wewe si wa moyoni, ni wa mfukoni tu. Ukiona anahangaika jua huyo aliyenaye huko Mwanza ni mshika mapembe tu, anakusaidia kulea ila wewe ndio muwojaji.
Cha msingi, je mko wangapi?
Nimeupenda ushauri wako.nimzuri sana maana kama unampigia m2 cm alafu analeta bozi nibora umpotezee.