Unakosea jitahidi uwe unaandika "Wallahi" kama ilivyotufikia.Mimi napenda kuandika "Walai",
Unanisaidiaje hapo?
Mzima lakini bibie ?
Unakosea jitahidi uwe unaandika "Wallahi" kama ilivyotufikia.Mimi napenda kuandika "Walai",
Unanisaidiaje hapo?
Mzima alhamdulillah,Unakosea jitahidi uwe unaandika "Wallahi" kama ilivyotufikia.
Mzima lakini bibie ?
Niko swalama. Umenifurahisha sana bibie.Mzima alhamdulillah,
Sijui weye.
Watu wana number hadi ya Trump na Malkia Elizabeth ndio watashindwa kupata namba ya Teacher wa NYAMISATI au KAZULAMIMBA?
Kama ameshindwa ku mblock mpaka sasa analeta uzi humu..... Atawezenaa??? Naona kipochi manyoya kinakuja kinakataa TeacherMkumbushe sheria za shule kuhusu mwanafunzi kumiliki simu,then block her....simply....
Khaaaaaaah jaman jf raha san lolYan mwanaume nae Anauliza namba yangu umezitoa wapi labda tupo tofauti
Jibu la akili sana maana wakati mwingine watu wanaacha kusimamia maadili na kanuni na kuanza kujiuliza maswali kibao ya namba ameipata wapiSisi kama wazazi tumeshapata picha wewe ni mwalimu wa aina gani, maana kuna walimu hata namba yake itokee tu iingie kwa simu yako kimiujiza walaqhi unaweza acha hata shule, sasa wewe mpaka msg unatumiwa..!?
Enwei, suala la kupata namba siyo muhimu, hebu kwa sasa tumia ile taaluma yako ya ualimu, mbona suala dogo hilo tu kutatua? Otherwise sisi wazazi tutawaza una nia ovu.!!
Mkuu mimi ni mashaka na wewe Kwanza cha kwanza Mzee wa kusawazisha ndo id yako basi kingine tushajua asili yako! Ila.mimi simoSiku ya juma 3 kuna missed call iliingia kwenye simu yangu majira ya sa 3 asubuhi
Nikaituma sms akajibu ni mimi mwanafunzi nilikua nataka kujua kama upo hai Corona umesalimika. Swali la kwanza namba yangu umeitoa wapi akajibu kwani ni vibaya kua na namba yako.
Niliokota ofisini iliandikwa kwenye karatasi nikaichukua, sikuamuamini kesho yake kanitafuta tena nikambana aseme akajibu vile, binafsi sina kabisa mazoea na wanafunzi nikiwa shuleni, aliko mtandao unasumbua. Leo kasijili halotel na kanitumia sms mchana nilijua hata tuma.
Swali hadi sasa hivi najiuliza huyu mwanafunzi wa form 3 namba yangu kaitoa wapi? Sijawai andika namba yangu kokote pale ofisini. Kaacha najiuliza hadi Leo huyu mtoto namba kaitoa wapi, nimeona niliete kwenu najua kuna wazazi humu pia. Au mme shawano experience hali hii, nisipojibu sms mara ooh au mkeo kakukataza kujibu sms? Dah
Mkuu mimi ni mashaka na wewe Kwanza cha kwanza Mzee wa kusawazisha ndo id yako basi kingine tushajua asili yako! Ila.mimi simoSiku ya juma 3 kuna missed call iliingia kwenye simu yangu majira ya sa 3 asubuhi
Nikaituma sms akajibu ni mimi mwanafunzi nilikua nataka kujua kama upo hai Corona umesalimika. Swali la kwanza namba yangu umeitoa wapi akajibu kwani ni vibaya kua na namba yako.
Niliokota ofisini iliandikwa kwenye karatasi nikaichukua, sikuamuamini kesho yake kanitafuta tena nikambana aseme akajibu vile, binafsi sina kabisa mazoea na wanafunzi nikiwa shuleni, aliko mtandao unasumbua. Leo kasijili halotel na kanitumia sms mchana nilijua hata tuma.
Swali hadi sasa hivi najiuliza huyu mwanafunzi wa form 3 namba yangu kaitoa wapi? Sijawai andika namba yangu kokote pale ofisini. Kaacha najiuliza hadi Leo huyu mtoto namba kaitoa wapi, nimeona niliete kwenu najua kuna wazazi humu pia. Au mme shawano experience hali hii, nisipojibu sms mara ooh au mkeo kakukataza kujibu sms? Dah
Nitumie namba yake inbox nitakuletea mrejesho namba yako kaitoa wapo.Siku ya juma 3 kuna missed call iliingia kwenye simu yangu majira ya sa 3 asubuhi
Nikaituma sms akajibu ni mimi mwanafunzi nilikua nataka kujua kama upo hai Corona umesalimika. Swali la kwanza namba yangu umeitoa wapi akajibu kwani ni vibaya kua na namba yako.
Niliokota ofisini iliandikwa kwenye karatasi nikaichukua, sikuamuamini kesho yake kanitafuta tena nikambana aseme akajibu vile, binafsi sina kabisa mazoea na wanafunzi nikiwa shuleni, aliko mtandao unasumbua. Leo kasijili halotel na kanitumia sms mchana nilijua hata tuma.
Swali hadi sasa hivi najiuliza huyu mwanafunzi wa form 3 namba yangu kaitoa wapi? Sijawai andika namba yangu kokote pale ofisini. Kaacha najiuliza hadi Leo huyu mtoto namba kaitoa wapi, nimeona niliete kwenu najua kuna wazazi humu pia. Au mme shawano experience hali hii, nisipojibu sms mara ooh au mkeo kakukataza kujibu sms? Dah