Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,038
- 173,731
Kaolewe wewe basiAcha Upumbavu, Mpumbavu ndio habadiliki.. acha tabia za kike za kushadadia watu waachane!
Kaolewe wewe basiAcha Upumbavu, Mpumbavu ndio habadiliki.. acha tabia za kike za kushadadia watu waachane!
wewe umeshaolewa?Kaolewe wewe basi
Hehehe unaweza hata usiuone kama siku za nyuma ulishawahi kunifanyia roho mbayasasa utafanyaje
Yaan jamani mm navyochukia kutukanwa, siku nije nitukaniwe wazazi wangu ntalia mpk machozi ya damu kbs kwa hasira.Sasa mtu anaetoa kauli za namna hii bila hekima ni mtu wa kukaa nae na mtoto mdogo. Mtakuza mtu wa namna gani hapo? Acha kumuendekeza. Mbeya nyumba zipo kibao bei chee tu hama tena hata usiage, akija akute haupo tu. Ujumbe ataukuta mezani.
Jamaa anamfanya mke wake km daraja tu, huenda kuna urahisi flani wa maisha anaupata toka kwa huyo dada.Alafu sababu ya kujiliza na kuomba msamaha ameshaona we ndo mwanamke pekee waweza vumilia ujinga wake ndo maana anakupigia magoti usiondoke,ujue watu wa hvo wanaakil sana na kitu kingine jamaa yako inawezekana ana inferiority complex flan
😂😂😂😂😂Hehehe unaweza hata usiuone kama siku za nyuma ulishawahi kunifanyia roho mbaya
daaaaah poleNo kipindi tupo uchumba hakuwa anaonyesha hizo tabia,tulipofunga ndoa baada ya miezi kadhaa ndo nikawa nashangaa baadhi ya tabia ,mfano anaweza kufunga samaki mzima sato kama kulikuwa na kifunction kazini ,but akija nampashia kwa oven anakula pekee yake anamaliza namwangalia ,
Heeee hiyo nomaaa uwiiiiNo kipindi tupo uchumba hakuwa anaonyesha hizo tabia,tulipofunga ndoa baada ya miezi kadhaa ndo nikawa nashangaa baadhi ya tabia ,mfano anaweza kufunga samaki mzima sato kama kulikuwa na kifunction kazini ,but akija nampashia kwa oven anakula pekee yake anamaliza namwangalia ,
Anza ratiba ya maombi yako binafsi sio kutegemea ya kanisani tu!Amina dear ,huwa nafanya maombi hata kila ijumaa tuna maombi kanisani mara chache sana kukosa labda niwe nimetingwa kazini
Heeeeee mwanaume wa kuniambia live hivo!??? Aiseee nitamfunga huko chini kunakompa kiburi halafu aoneKipindi nimefunga ndoa siku hiyo usiku ,alinambia nimekuoa but wasichana was nje siwezi waacha ,but kipindi cha a mwanzo nimepata Shida sana ,nikawaona wasimamuzi wangu wa ndoa wakamshauri akapunguza but nilimshakamata kalala na binti wa kazi ndani,nikamwambia naomba tuachane hapo mtoto akiwa na miaka 3 ,akanibembembeleza sana,akaomba msamaha yakaisha,but kuna kipindi akawa anatongoza mabinti ,nikasema sasa inabidi tuachane ,akalia sana akasema umeona coz wazazi wangu wamefariki ndo unataka kuniacha sawa,huruma ikaniingia tukayamaliza ,kwa sasa naona ametulia hata Kanisani anahudhuria vizuri tu
ukionana na mwanaume hawatajua otherwise mchungaji ni mbeya, wachungaji wengi wana siri nyingi za waumini wao, lakini ndio makuhani hao hao wakiwa waaminifu hutupeleka mbele za Mungu kwa mahitaji yaliyo juu yetu.Amen Mpendwa barikiwa kwa ushauri ,nitaangalia namna ya kuufamyia kazi,but sikupenda kanisani wajue kwasababu mimi ni mwenyekiti wa akina mama kanisani ,kuna vitu sitaki wajue kabisa
kwakeli wewe unazaliwa na Mke wa gwajima.MNA moyo sawa, yaan ale samaki peke yake nipo namuona? Siwezi mwacha cha kufanya najisogeza natoa kichwa nakila naona atafanyaje sio kwa uchoyo huo.
Wewe Dada sikujii ila Leo na kuweka kwenye maombi.
Ale samaki mzima mwenyewe aje kitandani ale na papuchi yako?? No way!!!
Heeee ,wanahitaji deliverance aisee bila hiyo ni mateso,sbb hapo inaonyesha kuna familiar spirit zinazofuatilia!Hapana kiufupi hata baadhi ya baba zake wakubwa kwa wadogo wana hizo tabia,watatu walishaachana na wake zao wa mwanzo ,mmoja nilimkuta wakati naolewa alinisimulia mengi sana akasema ukoo wao yaani wa mume wake ( ambae mimi ni baba mkwe wangu mdogo) akasema wana roho ya kikatili baba yake alishamuuaga mke wake wa kwanza kwa kumpiga na kamche ka kutwangia karanga yaani yaani babu
Hiyo hali ya maneno machafu na matusi ndo mimi binafsi huwa yananiumiza nikikumbuka but kipigo kanipiga mpaka na kisu but maumivu yake siyafeel kama matusi mpaka anakutukania wazazi ,mfano nilimwambia kwa nini unatoka nje ya ndoa ,akanambia kamuulize mamaako kwanini babako ana...mba nje ,akikupa jibu uje unambie ,yaani roho inaniumaga sana,nikamwambia naomba uwe unanitukana mimi ,usiwaaingize wazazi wangu
Nilishasema huyo jamaa yako ni hatari zaidi ya nyoka koboko. Endelea kumchekea akuue mbele ya mwanao
Huo ni utoto tu halafu kutumia imani kwenye mambo yanayohitaji matumizi ya logic ni uzwazwa. Mtu anakushona nakoz badala ukimbie wewe unaita Yesu nisaidie? Hizi imani zenu zitawafikisha mahala fulaniMmh sio mchezo!
Eti upendo uliondoka na wazazi,like serious!? Jmn kuna ndoa nyingine kweli mateso
Yesu nisaidie
Nashindwa kuelewa kapataje hata hiyo mimba ya pili,nisingeweza kwakweli!Sasa mtu anaetoa kauli za namna hii bila hekima ni mtu wa kukaa nae na mtoto mdogo. Mtakuza mtu wa namna gani hapo? Acha kumuendekeza. Mbeya nyumba zipo kibao bei chee tu hama tena hata usiage, akija akute haupo tu. Ujumbe ataukuta mezani.
Yani,asiwashe kabisa utalipuka.Duh huo mtungi unavuja usiwashe kiberiti
Hahah inashangaza kweli kweli. Ila ndio mapenzi ya mke yakizidi amehisi akiongeza mtoto labda jamaa ataacha wenge.Nashindwa kuelewa kapataje hata hiyo mimba ya pili,nisingeweza kwakweli!