Sis naona umetumia fursa ipasavyo😁Bro, umeoa???
Kama bado 'yes I do'..! 😀
Mmmmh hiii ni hatari zaidi ya kujipalia makaa ya moto mkuu hunitakii memaWaite wote kwa pamoja uwaambie ukweli. Wao ndio wawe kuchagua yupi wa kuenda na yupi wakubaki. Ila vaa chupi ya chuma maana wanaweza kukuchangia wakukate mgegedo uishie kuwa demu kama wao.
Sasa mbona umeweka picha yako kwenye avatar kama hutaki wakujue?Wapo humu jf japo hawajui Kama namimi natumia hii jf nikiweka picha nitajivua nguo mkuu
Asante sana kwa ushauri wako japo ushauri wako umenifanya nijihisi mkosaji nisiyestahili kusamehewa. Umenifanya nijichukie mwenyewe na sijui nianzie wapi kurekebisha makosa niliyoyafanya.In the first place you are just a selfish nigga
You are such an idiot that you are playing with two of them.
You should not marry any of them as you do not deserve them, Don’t you feel anytime that you are cheating on them.
Don’t You have your self respect?
How can you do such shit and without guilt you are roaming around?..
Umejuaje mtoa mada anajua kingereza?In the first place you are just a selfish nigga
You are such an idiot that you are playing with two of them.
You should not marry any of them as you do not deserve them, Don’t you feel anytime that you are cheating on them.
Don’t You have your self respect?
How can you do such shit and without guilt you are roaming around?
Have you ever thought of how will their lives become once they come to know that you are cheating on them. Do you realize just because of people like you, most women have lost trust in the relationships. Do you realize how shit can it be?
Do you even think just for once for being such a jerk?
I just wish you don’t see your daughter crying for the same reason once she grows up. I wish your daughter doesn’t fall for someone like you.
Just remember KARMA is there! Whatever you do will come round to you only. No one else is going to pay for your sins!
And for god sake, leave those two girls. They deserve much better human being who doesn’t lie to himself atleast in front of the mirror.
God knows how you look at yourself.
Unataka niwe Kama mkataapema ..,.....
Mfupa uliomshinda mmbwa paka hauwezi~ Niuzie mmoja nijifunzie mapendo..
Labda kwakuwa akili zangu ni ndogo lakini sijaambua kitu kutoka katika mfano huuMm ilinitokea niko chuoni, nilikuwa nao wawili, mmoja nilimwambia nataka mtoto akagoma akasema muda bado, nikamfuata wa pili nikampa mimba hapo chuoni tukisoma wote.
Nikaanza kuwaza nitafanyaje ili nibaki na mmoja?, nikashangaa siku moja yule wa kwanza ananipigia simu na kuniambia yuko kwa mpenzi wake.
Nikamuuliza huyo mpenzi wa kike wa kiume? Akasema ni wakiume, nikakata simu ndio ikawa mwisho wa mahusiano.
Akaanza kuniomba radhi lakini wapiii
Hivi wewe hicho kizungu shule ulitulipia ada? TupisheIn the first place you are just a selfish nigga
You are such an idiot that you are playing with two of them.
You should not marry any of them as you do not deserve them, Don’t you feel anytime that you are cheating on them.
Don’t You have your self respect?
How can you do such shit and without guilt you are roaming around?
Have you ever thought of how will their lives become once they come to know that you are cheating on them. Do you realize just because of people like you, most women have lost trust in the relationships. Do you realize how shit can it be?
Do you even think just for once for being such a jerk?
I just wish you don’t see your daughter crying for the same reason once she grows up. I wish your daughter doesn’t fall for someone like you.
Just remember KARMA is there! Whatever you do will come round to you only. No one else is going to pay for your sins!
And for god sake, leave those two girls. They deserve much better human being who doesn’t lie to himself atleast in front of the mirror.
God knows how you look at yourself.
Ni watu wanaojielewa sana nisingeweza kuwa nao bila kuwapa ahadi ya kuwaoaSasa kwani wote uliwapa ahadi ya kuwaoa??? Kama uliwapa ahadi ya kuwaoa wote wewe ni dhaifu sana
Ungeitafsiri hii kwa lugha yetu ingewasaidia wengi sana,hasa hapa: "I just wish you don’t see your daughter crying for the same reason once she grows up. I wish your daughter doesn’t fall for someone like you.Just remember KARMA is there! Whatever you do will come round to you only. No one else is going to pay for your sins!".....In the first place you are just a selfish nigga
You are such an idiot that you are playing with two of them.
You should not marry any of them as you do not deserve them, Don’t you feel anytime that you are cheating on them.
Don’t You have your self respect?
How can you do such shit and without guilt you are roaming around?
Have you ever thought of how will their lives become once they come to know that you are cheating on them. Do you realize just because of people like you, most women have lost trust in the relationships. Do you realize how shit can it be?
Do you even think just for once for being such a jerk?
I just wish you don’t see your daughter crying for the same reason once she grows up. I wish your daughter doesn’t fall for someone like you.
Just remember KARMA is there! Whatever you do will come round to you only. No one else is going to pay for your sins!
And for god sake, leave those two girls. They deserve much better human being who doesn’t lie to himself atleast in front of the mirror.
God knows how you look at yourself.