Nisaidieni nakaribia kuumbuka

Nisaidieni nakaribia kuumbuka

Nimemheshimu sana huyo mwanamke na hongera kwa baba yake kwa kumpa malezi mazuri; hata sasa ameweza kujiheshimu nakuwaheshimu wazazi wake. Kuna vitu vichache vinaweza kukupa picha ya familia aliyotoka mtu. Mzazi gani atayefurahia binti unajihamishia kwa mwanaume bila kufuata utaratibu; si ni matusi hayo kwa wazazi wako and a sign of desperation?. The girl knows her worth; it shall be well with her. Haya mambo mengine ni upuuzi tu ambao unalazimishwa uonekane kama ndo taratibu ya dunia hii,

Wanaume wafujaji utawajua tu; masharti kama waganga; mara hamia kwangu! Mara beba mimba, mara kaishi na mama yangu nione kama mtapatana. Yani utafikiri una maisha ya kufanyia audition afu yeye ni perfect man so no need of audition. Imagine hapo wadada wote wangebeba mimba ingekuwaje?

Multiple relationships=Multiple confusions
hakuna mwanaume anaejielewa ambae anaoa kabla ya kuishi na mwanamke kwanza. na hao wanaooa kabla ya kuishi nae ndo wanaokujaga kulalamika humu kuhusu wake zao. wameuziwa mbuzi kwenye gunia.
 
Speak for yourself young boy. Unafikiri wanaume wote hawana akili? Huku kwetu tumeolewa ndo tukaanza kuishi na wanaume; bado wapo wanaume wenye ufahamu.
hakuna mwanaume anaejielewa ambae anaoa kabla ya kuishi na mwanamke kwanza. na hao wanaooa kabla ya kuishi nae ndo wanaokujaga kulalamika humu kuhusu wake zao. wameuziwa mbuzi kwenye gunia.
 
Hana adabu huyu. The young lady is better off without her
Af anajisifia kabisa et nimemuacha aolewe na baba yake! Mtu hana hata heshima kwa mzazi, ataweza kweli kumheshimu mke?
No wonder huyo dada alikataa sababu anajitambua na aliona hapa sio.

Muoaji wa kwel hana masharti ya hivyo wala longo longo, akiwa tayari kuoa anajua nini kinatakiwa kufanyika basi anafanya mambo. Half utakuta hapo mtu kakaa nae kwa mahusiano mda mrefu ila akitaka kuoa ndio sababu kibao kama hizo kisa unampima as if yeye yuko safi.
Shame on them wote wenye tabia kama hiyo
 
Sex is overated hamna jipya hata utoke Leo juma, kesho Ali, omary, Peter mwisho wa siku enjoyment huwa kwa yule mwenye connection and bond. Imagine mfano machangu. Kuna kufanya upizi na kufanya ile connection ya ndani

Sure, however there is that satanic aspect of enjoying varieties and you really sense it on an individual self glocalized pleasure.
 
One of the worst thing to do in life is blaming or judging someone for making a wrong choice or chose a certain path in life. Hakuna ambaye hajapitia hiyo stage or situation regardless of how small or big it was..

Pia Moja ya vitu common ni kuwa wote huwa tuna REASONS za kufanya hayo japo ni wachache huja mbele na kujua wapo wrong na kuchukua full responsibility of their actions....

Ok MR "RIGHT", jamaa kashajua what he did was WRONG na pengine mwanzoni hakujua situation atakayokuja kukutana nayo na ndio maana hadi sasa yupo GUILTY na anatamani kupata SOLUTION ambayo haitomuumiza mtu.

That only should tell you how good he is in person, wengine wasingejali so long as wanajali furaha zao. So , he is here seeking for an advice that 'll make a situation a bit easier for EVERYONE japo ni ngumu maana lazma mtu mmoja AUMIZWE.
Point!
 
Mvulana wa mika 30. Kuna watu wengine hupata bahati ya kuwa wanaume wangali na umri wa miaka 18 ila wewe umri umesogea ila ungali mvulana. Siku ukifaulu kutambua tofauti kati ya kupenda na kutamani basi utajua huenda hata kati ya hao mabinti unaowachezea na kuwapotezea muda hakuna aliye wako na wana deserve mema!
 
Habari gani Watanzania wenzangu.

Naomba wadau mnisaidie ushauri wenu maana nipo njia panda. Mimi ni kijana umri miaka 30. Nina wanawake (mademu) wawili ambao nawapenda sana na kila mmoja ananipenda sana.

Kwakweli nimefanikiwa kuishi nao bila wao kujua kama ninawachanganya; nimedumu nao kwa miaka miwili sasa, na wote wananiamini sana na kila mmoja anaamini nitamuoa.

Sasa umefika wakati ambapo natakiwa nianze harakati za kuoa kama kumtambulisha mchumba kwa wazazi na kumchumbia. Napata wakati mgumu nimuache yupi na nimuoe yupi; wote ni wema sana kwangu na nakosa hata sababu ya ku-force ili nimuache mmoja

Wote ni wapole; nimesubiri mmoja anikosee nimuache lakini wapi, na ninapoelekea nakarbia kubambwa kwa ujinga niliowafanyia. Sasa nitumie kigezo gani kumuacha mmoja nibaki na mmoja nimuoe?

Naombeni msaada au nitumie kigezo gani ambao nitapata sababu ya kumuacha mmoja wao maana naona naaibika sio mda mrefuu.
Oa mmoja na mwingine mfanye mchepuko wa kudumu hivi vitu vifanye kwa siri sana
 
Sijui kwann siamini mwanamke mpole asiye na makosa mpaka kushindwa kumpatia sababu ya kumwacha.

Una uhakika hao wanawake hawajui wapo wawili na hapo ulipo wanajua ushachanganyikiwa na wao wanachochea moto?

Ndoa zimekuwa adimu sana, wanakomaa wazipate, miaka miwili ni michache sana, ukishaoa ukadumu nae miaka angalau saba ndo utajua umeoa nini.

Haiwezekani ukapenda watu wawili. Kuna mmoja hapo ukichunguza humpendi ila kuna kitu tofauti anacho anakupa hutaki kukiacha.
 
Authority wewe ni baharia wa kike au wakiume mbona Kama zile kanuni za kibaharia umezinywa halafu umebobea. Hii noma sana kaaaah

Hi itakudhuru utaishia kuchagua corona nazi utawaachia wengine heri utumie probability ya tossing andika majina yao kwenye papers na utumie zaburi ya 51, 82, 103, petro was kwanza sura ya 5 mstari wa 6+, funga siku8, ukitumia zaburi 51 hakikisha ogea chumvi ya mawe ukinuiza toba yako na umtakae na Mwambie Mungu ikikupendeza Kama sio wangu waniache wao. Nakula pozi kwanza...niko kibiblia Zaidi muda huu
 
In the first place you are just a selfish nigga

You are such an idiot that you are playing with two of them.

You should not marry any of them as you do not deserve them, Don’t you feel anytime that you are cheating on them.

Don’t You have your self respect?

How can you do such shit and without guilt you are roaming around?

Have you ever thought of how will their lives become once they come to know that you are cheating on them. Do you realize just because of people like you, most women have lost trust in the relationships. Do you realize how shit can it be?

Do you even think just for once for being such a jerk?

I just wish you don’t see your daughter crying for the same reason once she grows up. I wish your daughter doesn’t fall for someone like you.

Just remember KARMA is there! Whatever you do will come round to you only. No one else is going to pay for your sins!

And for god sake, leave those two girls. They deserve much better human being who doesn’t lie to himself atleast in front of the mirror.

God knows how you look at yourself.
I pay these niggaz with a reality cheque - Weezy F. baby
 
Habari gani Watanzania wenzangu.

Naomba wadau mnisaidie ushauri wenu maana nipo njia panda. Mimi ni kijana umri miaka 30. Nina wanawake (mademu) wawili ambao nawapenda sana na kila mmoja ananipenda sana.

Kwakweli nimefanikiwa kuishi nao bila wao kujua kama ninawachanganya; nimedumu nao kwa miaka miwili sasa, na wote wananiamini sana na kila mmoja anaamini nitamuoa.

Sasa umefika wakati ambapo natakiwa nianze harakati za kuoa kama kumtambulisha mchumba kwa wazazi na kumchumbia. Napata wakati mgumu nimuache yupi na nimuoe yupi; wote ni wema sana kwangu na nakosa hata sababu ya ku-force ili nimuache mmoja

Wote ni wapole; nimesubiri mmoja anikosee nimuache lakini wapi, na ninapoelekea nakarbia kubambwa kwa ujinga niliowafanyia. Sasa nitumie kigezo gani kumuacha mmoja nibaki na mmoja nimuoe?

Naombeni msaada au nitumie kigezo gani ambao nitapata sababu ya kumuacha mmoja wao maana naona naaibika sio mda mrefuu.
Hebu nitumie picha zao wote pamoja na namba zao za simu nifanye uchunguzi vizuri kisha nikupe mrejesho
 
Back
Top Bottom