Nisaidieni nakaribia kuumbuka

Nisaidieni nakaribia kuumbuka

Waache wote I'm sure watakubamba itakuwa aibu na utaachwa, Sasa from there utapata series za matukio na utakayemuoa atakuwa pasua kichwa. Sijui kwanini wanaume huwa hamsemi ukweli mpaka muumize wengine. Remember karma is a bitch.
...hell is a sister
 
Mm ilinitokea niko chuoni, nilikuwa nao wawili, mmoja nilimwambia nataka mtoto akagoma akasema muda bado, nikamfuata wa pili nikampa mimba hapo chuoni tukisoma wote.

Nikaanza kuwaza nitafanyaje ili nibaki na mmoja?, nikashangaa siku moja yule wa kwanza ananipigia simu na kuniambia yuko kwa mpenzi wake.

Nikamuuliza huyo mpenzi wa kike wa kiume? Akasema ni wakiume, nikakata simu ndio ikawa mwisho wa mahusiano.

Akaanza kuniomba radhi lakini wapiii
😃😃
 
nipe namba zao mimi nimshaauri wa masuala ya ndoa nataka niwabariki na kuwapatia upako
 
Nipe namba ya mmoja tuchonge mchongo wa kumfumania upate sababu ya kumwacha kirahisi.
 
Back
Top Bottom