yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,904
- 3,415
Ushauri mzuri sana huu aufate ateleta mrejesho, mwanamke ni kiumbe kingine,Fanya hivi chukua simu zao kaa nazo siku tatu utapata matokeo yupi wa kuoa yupi wa kuacha au utawaacha wote. Inaonekana hata kuwachunguza bado unachovya tu
Wote Wana mizigo ya kufa mtu mkuu
Mbona unaonekana kama hauko serious, naona wadau huko juu wanaumiza vichwa kutoa comments za maana sana lakini wewe naona unatake easy tu, be a man.Vita vya panzi au sio
Kwangu Mimi sijaona tatizo la kuomba ushauri humu zaidi sana nimepata ushauri mzuri na naamini nitatoboaMe nawaonea huruma hao wanawake, kama mwanaume anashindwa kufanya decision muhimu kama hii mwenyewe hadi aje atangaze huku basi kazi wanayo hao gfs zake.
Nafikiri unaona harakati zangu za kupambana kuachana na ujinga ili kuwa matured. Ndomana nataka nichukue hatua kabla sijabwagwaMwanaume hajakuwa matured atawatesa bure na wakijua watamubwaga
Nifanyeje nikitaka kupata best choiceBest choice na wanawake wote uko nao miaka miwili[emoji28] You can't be serious bro
Kwahiyo sistahili kuwa kichwa Cha familia kwasababu ya kuwa na wachumba wawili na kushindwa kumchagua aliyebora zaidi au kosalangu ni kuomba ushauri humu jfEti huyu nae ni kichwa cha familia mtarajiwa[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Asante sana japo hujanipa approach ya kushinda battleBe careful with battle you want to start my dear, grow wise and learn from positive people, it's seems ur still mvulana though you fuvk two gelz.
Ushauri huu nitaufanyia kazi kwa 100% Asante sana ndugu I appreciate youA girl to marry?
You should use wisdom man, that's a natural institution your going to have. That's the future. One shouldn't only be smart when deciding, use wisdom.
That whole time you've lived with them means you know them very well.
I only consider this order may help choosing good wife otherwise if you wanna use your emotions then do what you think.
One who;
1. Have faith in God (do not confuse with "everybody worshiping and attending that building in that every day)
2. Loves you ( she shouldn't love your property, wealth, career, you'll suffer because material lasts, souls love doesn't)
3. Loves your parents (She at least show signs of asking you a well-beingness of your parents if not your home family, curious about your background status and parents, this will make her love you and your life and people around you will be her people's too)
Then thank the Heavens later while in your 70th marriage anniversary
Kama kunawatu walionielewa Basi wewe jamàa umenielewa vilivyoOne of the worst thing to do in life is blaming or judging someone for making a wrong choice or chose a certain path in life. Hakuna ambaye hajapitia hiyo stage or situation regardless of how small or big it was..
Pia Moja ya vitu common ni kuwa wote huwa tuna REASONS za kufanya hayo japo ni wachache huja mbele na kujua wapo wrong na kuchukua full responsibility of their actions....
Ok MR "RIGHT", jamaa kashajua what he did was WRONG na pengine mwanzoni hakujua situation atakayokuja kukutana nayo na ndio maana hadi sasa yupo GUILTY na anatamani kupata SOLUTION ambayo haitomuumiza mtu.
That only should tell you how good he is in person, wengine wasingejali so long as wanajali furaha zao. So , he is here seeking for an advice that 'll make a situation a bit easier for EVERYONE japo ni ngumu maana lazma mtu mmoja AUMIZWE.
Kwakuwa eti nilikosea Basi sistahili kutendewa jema wala kupewa nafasi ya kurekebisha makosa yangu.Awaache hao wanawake waende kwa wanaume wanaostahili kupewa huo upendo.
Huyu hastahili kabisa na anapaswa akae hivyohivyo mwenyewe maana hajitambui.
Ungeshere nasi labda tungepata cha kujifunzaUmenikumbusha mbali sana mkuu.
Jambo pekee ninaloweza sema hapa ni pole sana kwa wakati mgumu unao upotia, maana nami niliwahi kupitia hii hali ingawa yangu ikikuwa keshi kubwa kuliko yako.
Hana shida pep ni mstaarabu Sana hawez ninyima huyo mrembo
Picha zaoWote Wana mizigo ya kufa mtu mkuu
Inabidi ujue wewe unataka nini, ukijua hilo wala hutapata shida kuchagua mke wa kumuweka ndani.Nifanyeje nikitaka kupata best choice
Umefanya jambo jema kuomba ushauri, ni wachache wanaotambua wamekosea sehemu na wakaomba mwongozo.Kwangu Mimi sijaona tatizo la kuomba ushauri humu zaidi sana nimepata ushauri mzuri na naamini nitatoboa