Nisaidieni jamani

Nisaidieni jamani

Wacha utoto wewee.

Nani kakwambia ukimwaga ndani ni lazima mimba iingie.
 
We umejuaje kama ameshashka mimba? kama kitu kimeshakamata huyo wa form6 anajua tule tuvidonge wanatomezaga, akitupia tuwili tu halaf akae bila kupiga msos wala kutmia dawa ya kutliza maumiv kwisha habari ya mimba. wiki mbili tu atakuwa swaafi! uschafue watoto wa shule bana, tafta waliokomaa!

Nimempa promt n
 
Nenda kanunue Primolut N.
Ni kidonge kimoja tu kidogo tu bei yake ni Tsh.1,000 au 1,500.
Mpe ameze kabla ya 72 hours after sex, acha kupoteza muda hapa jamvini.

Nimepata nime mpa kimoja naw kwani dozi ni kwasiku ngapi inatakiwa
 
au ndio km yule alikojoa juu ya chu.pi akaambiwa ameshika mimba?isije ikawa ni yule yule
 
wewe kweli sio dereva mzuri, tairi imebast we ukaendesha hivohivo
 
Habari wana Jf wenzangu. Mwenzenu nimefanya mapenzi na Dada mmoja ambae nimwanafunzi wa Form five tuli tumia Kondom lakini kweli ile Kondom haina mana ilitoboka bahati mbaya bilakujua na mimi nikajikuta nimesha mwaga ndani.

Sasa nisaidieni njia yoyote ili Mimba isiendelee kukuwa ni Siku ya pili leo toka tufanye mapenzi. Jamani naomba kama hutaki kuchangia usintukane .

asanteni.

Tafuta vodonge vinaitwa P2 usipuuze hata ukigoogle uutavipata maelezo
 
Tulivyo maliza nilwambi aka chuchumae zikatoka sasa cjui kama nizote nakama zime baki haziwezi kuleta mimba au zitakufa

Nimegundua wewe pia ni mgeni...mbegu zikishaingia hazina kutoka inayotunga mimba ishapita zamani km ilikuwa cku yake.kuwa makini sana
 
Kazi kweli huyuvanamwambia P2 yule anasema huyu anasema primolut N kazi kweli mmh kijana pole sana mm sikushauri kwa vile umevunja amri ya sita ila mwambie huyo mdada ale yai vizaa😀😀
 
Kazi kweli huyuvanamwambia P2 yule anasema huyu anasema primolut N kazi kweli mmh kijana pole sana mm sikushauri kwa vile umevunja amri ya sita ila mwambie huyo mdada ale yai vizaa😀😀

Hahaaaaaaaaaa yesu wanguuuuuu...nimecheka hadi hurumaaa...yote ni ushauri lakini huh ni mwisho
 
Naona unahangaika kuzuia mimba...vipi kuhusu ukimwi nao umeweza kuuzuia?

Halafu kupitia post na komenti zako inaonekana na we mwenyewe bado ni bwa mdogo na pia ni mwanafunzi. Hebu tulizeni akili zenu kwenye masomo yenu, mnawapa hasara sana wanaowasomesha.
 
Back
Top Bottom