Nisaidieni jamani

Nisaidieni jamani

wewe upo form ngapi? umejuaje kama ana mimba? siku ya pili inaendeleaje kukua? je ni mimba au shahawa zinaendelea? halafu kuwa na uandishi mzuri. kuhusu msaada mlete huyo uliyezini nae nimfanyie uchunguzi wa papuchi yake kwa kutumia kipimo cha abdalascope.

hahahaha bdala scope watu mna maneno sana
 
Habari wana Jf wenzangu. Mwenzenu nimefanya mapenzi na Dada mmoja ambae nimwanafunzi wa Form five tuli tumia Kondom lakini kweli ile Kondom haina mana ilitoboka bahati mbaya bilakujua na mimi nikajikuta nimesha mwaga ndani.

Sasa nisaidieni njia yoyote ili Mimba isiendelee kukuwa ni Siku ya pili leo toka tufanye mapenzi. Jamani naomba kama hutaki kuchangia usintukane .

asanteni.

Wewe Upo Form Ngapi Ndugu Mana Kama Mtoto Wa Wa Form V Unamuita Dd Mmoja Basi Utakua Na Heshima Sana Kwa Uyo Dada Mmoja.... Hahaha

Kuhusu Hiyo Mimba Tulia Usiwe Na Mchecheto, Na Ujauzito Ukiwepo Usiitoe Maana Mungu Alishaeka Sheria Kali Sana Kwa Mtakaofanya Ivo,...

Karibu Kwenye Chama Letu La Wababa Watarijiwa
 
AMMA! Kweli utoto ni majanga.....ni sheeeda ivo!! UWIII, MM MBAVU ZANGU...!!! Muwe mnatokelezea humu na mm ninenepe kwa cheko.

URUDI kuwa mtumwa wa Mungu...vinginevyo...jiandae kunye..a debe. Mm nitakuwa shahidi.
 
Inaonekana na ww n mtoto... af ilo zgo inawezekana co lako.... cku mbil????!!!!!!!! Hahaha duuh kwel ukstajab ya mussa
 
Ssa wew kosea tena kumpa ivo vidonge...ushangae mtu amelala jumla na haamki(ame dead)....utawatafuta panya road waliko.

Subiri after 2weeks mkapime!!! Eee! Unawezaje kumeza dawa hali huna hakika ya ugonjwa ulonao?
 
Mtumwa gani wa Mungu unafanya mapenzi nje ya ndoa? Tena unavaa na condom kabisa haujui kua UNAUA...mwache asome utume wako kaufanyie kwa watumwa wenzako sio mwanafunzi...
 
Mkuu hauko serious ujue me nashangaa sana maelezo yako leo siku ya pili afu unaomba kupata kujua dawa ili imsaidie mimba isiendelee kukua loo hii ni shida hii aisee kwanin usisubiri zipite wiki mbili walau muweze kupima ?? Kipimo kinauzwa jero sijui
 
Fatilia siku zake kwanza ujue je zilikuwa SKU za hatari?kama ndo hivyo subiri had masaa 72 yapite then akapime urine.hapo mtajua kama kanasa au LA.
Pia kuna vidonge vya uzazi wa mpango vya kuzuia but sikushauri atumie kabla hajazaa kwani vinaweza kumletea matatizo makubwa akaja kujutia baadae.
Next time kuwa makiniiiii
 
Mrushe kichurachura masaa6 mbegu zitatokea mdomoni(atazitapika)
 
Jf ni vichejuzi tu..
Kuna Mdogo wangu juzi nae kanifata eti kampa mimba demu wake ..ikabidi nichekeee tu....
 
Kwa siku mbili tu huwezi kujua kama kanasa au hajanasa. Tulia tulia mpaka mzungo wake wa hedhi ufike, akiukosa basi mpeleke akapime. Mpaka kondom inapasuka inaonekana mapenzi yako ni ya nguvu nguvu sana.

Wakati mwingine siyo kutumia nguvu. Huyu jamaa hakuondoa hewa wakati wa kuvaa condom. Ni vizuri wakati wa kuvaa kushikilia kichwa cha condom ili hewa isiingie.
 
Wakati mwingine siyo kutumia nguvu. Huyu jamaa hakuondoa hewa wakati wa kuvaa condom. Ni vizuri wakati wa kuvaa kushikilia kichwa cha condom ili hewa isiingie.

Hapo umeongea. Matumizi yasiyo sahihi.
 
wewe upo form ngapi? umejuaje kama ana mimba? siku ya pili inaendeleaje kukua? je ni mimba au shahawa zinaendelea? halafu kuwa na uandishi mzuri. kuhusu msaada mlete huyo uliyezini nae nimfanyie uchunguzi wa papuchi yake kwa kutumia kipimo cha abdalascope.

ha ha ha hili jukwaa siji tena mbavu zangu zinaumia.
 
Back
Top Bottom