Nisaidieni jamani

Nisaidieni jamani

mwanafunzi wa formv unamuita mdada na si mtoto tena!! asa hiyo tayari ishakuwa mimba masaa 48? na jeeeeee alikuwa katika siku za kushika mimba au unakurupuka
 
Alafu nilivyoona mwenzenu nikajua aliyeandika hii thread mwanamke,mmmmh kumbe ME
 
Mpigie cmu babu seya akuwekee booking ya selo pale ukonga.
 
sikiliza we mtumwa wa shetani usituletee upuuzi hapa mlivoenda kugongana ulikuja kuomba ushauri kuwa ni mwanafunz nimgonge au nisimgonge kumbe tayar ushamgonga hlf unataka tukusaidie kuua kosa juu ya kosa sina cha kukushauri mtumwa wa shetani
 
We umejuaje kama ameshashka mimba? kama kitu kimeshakamata huyo wa form6 anajua tule tuvidonge wanatomezaga, akitupia tuwili tu halaf akae bila kupiga msos wala kutmia dawa ya kutliza maumiv kwisha habari ya mimba. wiki mbili tu atakuwa swaafi! uschafue watoto wa shule bana, tafta waliokomaa!
 
sikiliza we mtumwa wa shetani usituletee upuuzi hapa mlivoenda kugongana ulikuja kuomba ushauri kuwa ni mwanafunz nimgonge au nisimgonge kumbe tayar ushamgonga hlf unataka tukusaidie kuua kosa juu ya kosa sina cha kukushauri mtumwa wa shetani

mwambie huyu -----..jf siku hizi imevamiwa na watoto sijui ..
hii nayo ni mada ya kuleta hapa jamvini Jamani!!!
 
Kwani umepima na kumkuta mjamzito? Au ni wasiwasi tu? Na pia si vizuri kuua kiumbe cha mungu kama ipo acha ikue
 
Back
Top Bottom