Kumbesa
Senior Member
- Dec 29, 2011
- 113
- 22
Imetokezea kupendana na msichana mmoja Umri wake unakaribia miaka 28 ,ni aina ya msichana unapokuwa nae utapenda umpeleke kukutana na wazazi au marafiki zako, lakini kuna vitu viwili vinanitatiza na kunipa tabu,kwanza nimekuja kumbabaini anavaa wigi anapoliondowa anaonekana sio yule msichana mwenye mvutio , pili hili ndilo tatizo linanikosesha usingizi, ni tumbo lake kubwa sana na hajawahi kupata mtoto anapotowa nguo tumbo linaondowa hamu yote nafanya nae mapenzi ile basi tu nifanye tu lina mapeto,nimefika mahali siwezi tena kuendelea nae halafu sitaki kumuonesha kuwa ni tumbo lake ndilo lililonifanya niachane nae nashindwa sijuwi nini nifanye sitaki kumtumilia na kumkimbia, ninachokuombeni hapa nisaidieni nifanye njia gani za kistarabu niachane nae bila ya kumumiza moyoni .