Nisaidieni jamani hii nyumba ndogo siielewi.

Wee boza acha uchunwe!!!!!!!!!!!!! Unaanza je mwaka na mkanganyiko wa kujitakia?????????????
 
Nimepata kanyumba ndogo kanafanya kwenye hoteli fulani ya kitalii hapa mjini. Kweli ni mzuri na ananipa penzi vizuri sana I really enjoy (Pls note that I love my wife). Ila nina shida moja tu na huyu dada kwani simuamini kwa 100% with the following reasons.

1. Mpaka sasa nimekaa nae kwa miezi mitatu ila sijawahi kuingia kwake ila naishiaga getini nam drop/mpick wakati anaishi mwenyewe.
2. Simu yake huwa hataki niiguse kabisa lakini yangu anaweza ishika 24/7.
3. Kuna wakati nikimrudisha home kwake ukipiga simu haipatikani kabisa mpaka kesho yake ukimuuliza anakwambia iliisha charge yaani masaa 12 unacharge simu utafikiri inatumia battery ya caterpillar.

Kweli kinacho niuma mimi nampenda sana na nina mjali kwa mahitaji yake yoteeeeeeeeeeeee. Akitaka club, shopping, lot of outing etc.

Naombeni ushauri wenu jamani kwani mwenzenu roho inaniuma sana.

Mzinzi mkubwa wewe
 
yaani thread zingine hata sijui ushauri nini? una mke tayari lakini hutaki mwenzio aolewe, au unataka mke wa pili? kweli stupid...
 
Sasa dada Lizzy nipe solution!!! Nimesha invest vya kutosha.

Kwa nini una invest kwenye property usiyo na title nayo? Ni kama unajenga nyumba kwenye kiwanja cha mtu na unajiaminisha kuwa hiyo ni nyumba yako. Pole.
 
Pole sana, mbona naona kama unajitia gharama na Bp isio ya lazima? mkeo unampenda? ebu nieleweshe una m cheat vp mtu unaempenda? mkeo akikufanyia unavyofanya wewe na akikwambia anakupenda utamuelewa? usimfanyie mkeo mambo yasio mridhi
nyumba ndogo lazima itakua tamu sababu huyo mwanamke huko nae 24/7 na sorry to say this unaonekana mshamba wakupenda au ndio unajifunza u zinzi sasa umepata mjuzi anakupa vitu adimu ndio unapagawa, ebu kaa chini fikiria familia yako.
 
Lol jf jamani kuna mambo, unadhani atakaa akusubirie ukalale na mkeo usiku mzima anajikunyata peke yake? na yeye anaye wa kulala naye
 
kwanini huangaike huko jamani! Njoo kwangu ukipenda utaingia hadi uvungunguni njoo baby njoooo
 
Yeye ni nyumba ndogo yako na wewe ni yake. Kama ambavyo ukirudi nyumbani unafocus kumdanganya mke wako kwa makombo ya penzi ndivyo nae anavyofanya kwa wake.

he! Huwa yapo? hebu nielezee japo kiduchu Lizzy....happy new year:poa
 
wewe si jina lako nduka jibatize ujiite NDUKI na utoki ndukiiiiiiiiii wa usitizame nyuma nenda kwa mkeo na boresha penzi lako au mkeo nae anaye kiganst kwani unakuwa unamyima fungu lake , sisi wanaume hatuwezi kumiliki wanawake 2 na tukafanya kazi za uchumi wa masaa8 na trafik jam za bongo , huo wakati uko wapi ??? WAKE UPP BRO
 
Aaaaaa mzeee usiangalie kumlizisha kwa kumpa zawadi na kumuudumia mahitaji yake yote, jiulize pia unamfikisha kwenye kilele cha mlima kilimanjaro?
 
Nimepata kanyumba ndogo kanafanya kwenye hoteli fulani ya kitalii hapa mjini. Kweli ni mzuri na ananipa penzi vizuri sana I really enjoy (Pls note that I love my wife). Ila nina shida moja tu na huyu dada kwani simuamini kwa 100% with the following reasons.

1. Mpaka sasa nimekaa nae kwa miezi mitatu ila sijawahi kuingia kwake ila naishiaga getini nam drop/mpick wakati anaishi mwenyewe.
2. Simu yake huwa hataki niiguse kabisa lakini yangu anaweza ishika 24/7.
3. Kuna wakati nikimrudisha home kwake ukipiga simu haipatikani kabisa mpaka kesho yake ukimuuliza anakwambia iliisha charge yaani masaa 12 unacharge simu utafikiri inatumia battery ya caterpillar.

Kweli kinacho niuma mimi nampenda sana na nina mjali kwa mahitaji yake yoteeeeeeeeeeeee. Akitaka club, shopping, lot of outing etc.

Naombeni ushauri wenu jamani kwani mwenzenu roho inaniuma sana.
pumbavu zako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom