Kama nimuacha ama vipi?
Kwani we unaonaje?? Watu wengine nshiine kweli......... bora mama yako angezaa tu nanasi alafu akala na manesi walau wakaongeza afya kuliko hasara ya kiumbe kama wewe!!!
Selfish.. every thing is not about you .
We una mke umeamua kula nje bila ye kujua
kuna ubaya gani kama huyo mdada na yeye
Anakula ... tena ningependa aendelee kukupa hard time mpaka atakapo kuacha ..
in other hand labda kakuchoka anakutema
Kiaina .. au kakudharau kwa kutokumuheshimu mkeo .. we unamwita
Nyumba ndogo ye anajiita mwanamke
Usikute kajiweka kwenye kiatu cha mkeo akaona huna cha maana ... anaomba
Asipate mwanaume kama wewe atakapo amua ku settle ....
Nahisi ndo wewe mwenyewe.
Safi sana... tano bora.muache
na wew tangia uwe nae ushawahi kumpeleka kwako yan unakoishi na mkeo na ukamwingiza ndani? haya mambo ya nyumba ndogo yapo lakini si lazima na wew ufanye kwasababu yapo. ushauri wangu achana na hyo nyumba ndogo rudi kwa mkeo na hata kama unapmenda jiulize before her ulishawapenda wangapi na wako wapi kwa sasa na maisha yanaendelea kama kawa. mnatutesa jamaniNimepata kanyumba ndogo kanafanya kwenye hoteli fulani ya kitalii hapa mjini. Kweli ni mzuri na ananipa penzi vizuri sana I really enjoy (Pls note that I love my wife). Ila nina shida moja tu na huyu dada kwani simuamini kwa 100% with the following reasons.
1. Mpaka sasa nimekaa nae kwa miezi mitatu ila sijawahi kuingia kwake ila naishiaga getini nam drop/mpick wakati anaishi mwenyewe.
2. Simu yake huwa hataki niiguse kabisa lakini yangu anaweza ishika 24/7.
3. Kuna wakati nikimrudisha home kwake ukipiga simu haipatikani kabisa mpaka kesho yake ukimuuliza anakwambia iliisha charge yaani masaa 12 unacharge simu utafikiri inatumia battery ya caterpillar.
Kweli kinacho niuma mimi nampenda sana na nina mjali kwa mahitaji yake yoteeeeeeeeeeeee. Akitaka club, shopping, lot of outing etc.
Naombeni ushauri wenu jamani kwani mwenzenu roho inaniuma sana.
Aisee, watakuwa ni washenzi ee?
Mh, hili jamaa sanii tu. lisitusumbue..!
Nikupe solution kwani umeambiwa mimi kimada mzoefu?
Nimepata kanyumba ndogo kanafanya kwenye hoteli fulani ya kitalii hapa mjini. Kweli ni mzuri na ananipa penzi vizuri sana I really enjoy (Pls note that I love my wife). Ila nina shida moja tu na huyu dada kwani simuamini kwa 100% with the following reasons.
1. Mpaka sasa nimekaa nae kwa miezi mitatu ila sijawahi kuingia kwake ila naishiaga getini nam drop/mpick wakati anaishi mwenyewe.
2. Simu yake huwa hataki niiguse kabisa lakini yangu anaweza ishika 24/7.
3. Kuna wakati nikimrudisha home kwake ukipiga simu haipatikani kabisa mpaka kesho yake ukimuuliza anakwambia iliisha charge yaani masaa 12 unacharge simu utafikiri inatumia battery ya caterpillar.
Kweli kinacho niuma mimi nampenda sana na nina mjali kwa mahitaji yake yoteeeeeeeeeeeee. Akitaka club, shopping, lot of outing etc.
Naombeni ushauri wenu jamani kwani mwenzenu roho inaniuma sana.
kijana nyumba ndogo haitakiwi kuaminiwa hata siku moja...hiyo ni ya starehe tuu basi hamna chengine kakaka. simu yake iache wala usiulize...hakikisha hnachapa mzigo basi!!! nd never fall inlove wit nyumba ndogo.