Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
- Thread starter
- #21
wapi sasa kwa hapa dar au mkoa?profit yake inakuwaje?tunalipana vp?hao vijana sitaweza kuwacontrol full time coz niko job so naomba nieleweshe kwa uzuri plz
Mkuu Kanunue Engine ya Boti ndogo, Tengeneza zile Ngalawa wanazovulia , nunua neti na mahitaji mengine kwa hiyo Ml 5 utatoka tu...Kodisha vijana wa kufanyie kazi hiyo ya uvuvi samaki kisha uza kwa jumla..!!!