SANGANA001
Member
- Feb 18, 2023
- 12
- 9
Ndugu zangu nahitaji ushauri wenu, nipo DAR ES SALAAM. Nahitaji kuanzisha biashara, nina mtaji kiasi cha 1,000,000. Sasa sijajua ni biashara gani ambayo nifanye, lengo kwa siku nipate faida kuanzia 30,000.
Kwanza ondoa hiyo TIN cert. haraka sana.Ndugu zangu nahitaji ushauri wenu,
Usifanye biashara yeyote kwa sasa, Ila endelea na hiyo shughuli iliyokuwezesha kupata hicho kiasi cha 1,000,000.Sasa sijajua ni biashara gani ambayo nifanye
Hiyo certificate ya TIN umeweka kwa ajiri gani? Kwahiyo 1m ndio unataka ulipe kodi?Ndugu zangu nahitaji ushauri wenu, nipo DAR ES SALAAM. Nahitaji kuanzisha biashara, nina mtaji kiasi cha 1,000,000. Sasa sijajua ni biashara gani ambayo nifanye, lengo kwa siku nipate faida kuanzia 30,000.
View attachment 2524851
Mkuu naomba kazi uliyosema ya 15000 kwa sikuHiyo certificate ya TIN umeweka kwa ajiri gani? Kwahiyo 1m ndo unataka ulipe kodi?
Apana mkuu,lengo ni kupata aidi ya biashara.Hiyo certificate ya TIN umeweka kwa ajiri gani? Kwahiyo 1m ndo unataka ulipe kodi?
Nashukuru Sana mkuuUsifanye biashara yeyote kwa sasa, Ila endelea na hiyo shughuli iliyokuwezesha kupata hicho kiasi cha 1,000,000.
=
kama kapewa je?Usifanye biashara yeyote kwa sasa, Ila endelea na hiyo shughuli iliyokuwezesha kupata hicho kiasi cha 1,000,000.
=
Nimempa link yakuanzia | Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)kama kapewa je?
Mbona hukuja inbox kama ulikua serious......wewe naona kila jambo unachukulia mzahaMkuu naomba kazi uliyosema ya 15000 kwa siku
Kwahiyo Tin number ndo Id ya biashara yako au ni number ya kulipia kodi ya biashara yako?Apana mkuu,lengo ni kupata aidi ya biashara.
Nakuaminisha kakaKwahiyo Tin number ndo Id ya biashara yako au ni number ya kulipia kodi ya biashara yako?
Nifahamishe jinsi ya kuifutaUshamba mzigo sana sasa ukiweka TIN certificate mtandaoni ndio inakusaidia kupata idea ya biashara ya milion 1? Acha ushamba wewe
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ukitaka,unaweza ukanishauri,niweze kufanya biashara na iyo pesa tajwa apoUshamba mzigo sana sasa ukiweka TIN certificate mtandaoni ndio inakusaidia kupata idea ya biashara ya milion 1? Acha ushamba wewe
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mambo si rahisi kihivyo.Ndugu zangu nahitaji ushauri wenu, nipo DAR ES SALAAM. Nahitaji kuanzisha biashara, nina mtaji kiasi cha 1,000,000. Sasa sijajua ni biashara gani ambayo nifanye, lengo kwa siku nipate faida kuanzia 30,000.
Je? Ni biashara ipi naweza nikaanza nayo,kwa mwezi nipate faida ya elf 30M
Mambo si rahisi kihivyo.
Biashara halali ya mtaji wa shilingi milioni moja, unaianzisha tu halafu kwa siku ikuingizie shilingi elfu 30 (kwa mwezi laki tisa) kwa sasa haipo hapa TZ. Narudia haipo.
Lakini zipo biashara za kuanzia na mtaji wa shilingi milioni moja halafu kwa mwezi zikaanza kukupa elfu 30. Hii ndio biashara inayokufaa kwa sasa. Nakushauri anzia hapo. Ipo siku utakuja kunishukuru.