Ndugu wanajukwaa, mabibi na mabwana, habari za leo? Namshukuru Mungu kwa kupata nafasi ya kukuandikieni hapa JamiiForums.
Kilichonifanya niandike hii post ni hali ninayopitia sasa hivi ambayo sielewi kabisa. Nafanya biashara lakini nikiwa katika hii biashara sipati utulivu kazini, nahisi sina amani ndani yangu, natamani kwenda mbali lakini huko mbali sijui naenda kuanzia wapi.
Nakuombeni msaada wa mawazo maana nimefika mahali nikaona sina faida tena katika hii Dunia. Maana nimevulia lakini kila siku inakuwa hali mbaya kuliko ile ya jana. Nina hofu iliyoambatana na hasira na maumivu ndani yangu. Sina amani kabisa.
Kilichonifanya niandike hii post ni hali ninayopitia sasa hivi ambayo sielewi kabisa. Nafanya biashara lakini nikiwa katika hii biashara sipati utulivu kazini, nahisi sina amani ndani yangu, natamani kwenda mbali lakini huko mbali sijui naenda kuanzia wapi.
Nakuombeni msaada wa mawazo maana nimefika mahali nikaona sina faida tena katika hii Dunia. Maana nimevulia lakini kila siku inakuwa hali mbaya kuliko ile ya jana. Nina hofu iliyoambatana na hasira na maumivu ndani yangu. Sina amani kabisa.