Poleni na majukumu wadau najua humu kuna wazoefu wengi wa kudumu katika biashara hizi mbili naomba uzoefu wenu katika biashara ya mbao kuja kuuza Dar yani nipate sehemu niwe nauza taratibu au biashara ya mkaa nijumue mkoa nilete Dar niuze taratibu.
Naomba ushauri wenu mtaji wangu ni 15m, na kama mbao naweza kuandaa mwenyewe kuanzia kununua msitu hadi kuvuna lkn mkaa kujumua kwa watu naomba ushauri wenu na MUNGU AWABARIKI KWA MAONI YENU
Naomba ushauri wenu mtaji wangu ni 15m, na kama mbao naweza kuandaa mwenyewe kuanzia kununua msitu hadi kuvuna lkn mkaa kujumua kwa watu naomba ushauri wenu na MUNGU AWABARIKI KWA MAONI YENU