- Thread starter
- #61
Kwani mkuu simba huwa anasema anakula nyama
Yeye si kimya kimya njaa ikimuua anawinda swala na zebra mkuu
Wewe huwezi kusema mkuu ila matendo yataonyesha
Utashuhudia mwenyewe mkuu.
Kwani mkuu simba huwa anasema anakula nyama
Yeye si kimya kimya njaa ikimuua anawinda swala na zebra mkuu
Wewe huwezi kusema mkuu ila matendo yataonyesha
Nimekupata ila inabidi na we ujitokeze unilinde nsije enda pokea kumbe mwenzangu nyonya damu, teh teh teh!
Utashuhudia mwenyewe mkuu.
Mmh nina mashaka kama hilo ndo lengo lako hasa la kuulizia umri lol
Mi nitakuwa city park kuanzia saa moja krb
We Preta jana si ulisema uko nyichoka ndo maana nashangaa au umerudi kwa ungo aise
naenda kwanza kwenye uji wa shanga bana
Preta, kwenye vyuku naona unawaexempt wageni hivihivi!
haya haya mkuu
Safari njema tuu
Ila angalia sana mji huu usije ukaondoka ukiwa unalia mikono juu
utaweza kula kuku wa Tandoori.....?
ni kweli nilikuwa Nyichoka....nikaenda mpaka Bwitengi....nimeingia leo kwa popobawa...nimeleta zawadi ya matenga na vikapu.....utapenda nikuletee...
Nashukuru mkuu, na ahsante kwa angalizo.
Hahaha Kaizer!!Mmh nina mashaka kama hilo ndo lengo lako hasa la kuulizia umri lol
Okay! Karibu mgeniAge ni 30s mkuu.
Mi nitakuwa city park kuanzia saa moja krb
Hahaha KARIA I knw unapoelekea!!Fikia ****** bar! Ni pazuri sana hasa wakati wa jioni.
Nimesubiri hadi nimeamua kulalaMuda si muda tutaonana babe
Bwitengi ulienda kufanya nini aise
Halafu nilipita hapo Robanda na Makundusi kuwasalimia waIkoma
Halafu diwani wa hapo Morotonga amefariki aise
Umewapa pole hao
mkuu bado tuu hujafika
Au hilo basi lenu ni kama kobe anatambaa
Nimesubiri hadi nimeamua kulala
Mkuu ndio tumeondoka Moshi stand sasa hivi.