babe S
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 3,879
- 20,853
Na age range je? Ili iwe rahisi kukushauri sehemu ya kufikia teh tehAhsante Gamaha. Mie ni mwanaume, nakaribisha jinsia zote.
Na age range je? Ili iwe rahisi kukushauri sehemu ya kufikia teh tehAhsante Gamaha. Mie ni mwanaume, nakaribisha jinsia zote.
Mkuu Mr Rocky Ahsante. Ni vizuri wakajua ni jinsia gani, sina tatizo na kufunguka na kujibu maswali ya watu.
Kweli mkuu kufunguka muhimu sanaAhsante mkuu.
Na age range je? Ili iwe rahisi kukushauri sehemu ya kufikia teh teh
Pa kufikia, sijajua ni wapi ila nitafikia nyumba za wageni, I mean hotel, guest etc. Sina uenyeji sana Arusha, mara ya mwisho nilipitia hapo 2008. Unaweza kunipa hints kuhusu sehemu nzuri za kufikia. Thanks
Hahahah right on Mr Rocky, na pia kujua age itasaidia pozi la upokeaji!!Duh hii kali tena mpaka age range
So kama ni babu afikie mitaa ya African tulip na kibo palace
kama kijana akae karibu na triple A au boogaloo so mitaa ya sakina
kama ni chalii akae kijenge kabisa huko au makao mapya kabisa na kaloleni
Hahahah right on Mr Rocky, na pia kujua age itasaidia pozi la upokeaji!!
Hata mi nashangaa watu tushakula make up kuja kumpokea af katoweka!! LolzKweli kabisa babe maana kam ani mzee shikamooo nyingi
Kijana mambo zinakuwa nyingi
Mtoto sasa huyo unamwacha mbali kabisa
Safi sana huyu jamaa sijui katorokea wapi
ruttashobolwa klashasema ni dume banaSema jinsia yako basi,nifanye mchakato wa kukupokea vizuri mpaka Naura spring
Hata mi nashangaa watu tushakula make up kuja kumpokea af katoweka!! Lolz
Hahaha mnamkimbia mgeni eeeh?? Teh teh mi nataka nijue na age kwanza?ruttashobolwa klashasema ni dume bana
Imekula kwa wengi aise
Wengine walitarajia awe mrembo hapa
babe anakufaa sana wewe maana ni mwanaume unafaa ukampokee na umuonyeshe viwanja aise
Hahaha mnamkimbia mgeni eeeh?? Teh teh mi nataka nijue na age kwanza?
Nimekupata ila inabidi na we ujitokeze unilinde nsije enda pokea kumbe mwenzangu nyonya damu, teh teh teh!Si unakumbuka rules za sumaku aise
Like poles na aunlike poles zinafanyaje aise
Mpokee asije hisi wana arachuga sio wakarimu bana
Nimekupata ila inabidi na we ujitokeze unilinde nsije enda pokea kumbe mwenzangu nyonya damu, teh teh teh!
Duh hii kali tena mpaka age range
So kama ni babu afikie mitaa ya African tulip na kibo palace
kama kijana akae karibu na triple A au boogaloo so mitaa ya sakina
kama ni chalii akae kijenge kabisa huko au makao mapya kabisa na kaloleni
Na age range je? Ili iwe rahisi kukushauri sehemu ya kufikia teh teh
Na age range je? Ili iwe rahisi kukushauri sehemu ya kufikia teh teh
kama umepanda basi la buffalo kufika Arusha ni saa 10 au 11 jioni na kama upo vizuri kipesa fika town ila km haupo safi shukia mji mdogo wa USA kuna guest inaitwa MKUNDE GUEST HOUSE hapa uwa wanAfikia watu wa kubwa na pia ipo krb na kituo cha polisi USA RIVER hivyo ni full ulinzi mkuu krb A-TOWN.
Si unakumbuka rules za sumaku aise
Like poles na aunlike poles zinafanyaje aise
Mpokee asije hisi wana arachuga sio wakarimu bana