ungesema na jinsia ingesaidia sana wapokeaji wajiandae vipi lol
Ni matumaini yangu mu wazima wa afya.
Nipo ndani ya basi la Buffalo kutokea Dar kwenda Arusha, wanajf mliopo Arusha na wenye mapenzi mema na wageni naombeni kampani yenu. Gari inasemekana kuingia mida ya saa 8/9.
Ndimi,
Simplicity.
Mkuu kwani akiwa dume huwezi mpokea
Ila ingependeza sana kusema jinsia aise
huna pa kufikia ?
karibu sana ARACHUGA usisahau koti maana daah kama vipi n PM ntakupa maelekezo
Karibu mkuu! Nipo kwenye mishe nje ya mji,ngoja walio town mida hii wakupe mwelekeo ndugu..Pa kufikia, sijajua ni wapi ila nitafikia nyumba za wageni, I mean hotel, guest etc. Sina uenyeji sana Arusha, mara ya mwisho nilipitia hapo 2008. Unaweza kunipa hints kuhusu sehemu nzuri za kufikia. Thanks
ungesema na jinsia ingesaidia sana wapokeaji wajiandae vipi lol
Mkuu kwani akiwa dume huwezi mpokea
Ila ingependeza sana kusema jinsia aise
Ahsante Gamaha. Mie ni mwanaume, nakaribisha jinsia zote.
Mukulu kumbe uko Dar....
Mbona wanaJF wa Dar unatupiga chenga afu unataka wa Arusha wakupokee?
Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Mkuu Simplicity wanaulizia jinsia yako aise mapema
Watu wa Arachuga hawana madogo
hata hivyo karibu sana mkuu huku
Baridi inachapa mbaya
KAribu mkuu sana
Wenyeji tupo wengi tuu na tunawapenda sana wageni
Karibu mkuu! Nipo kwenye mishe nje ya mji,ngoja walio town mida hii wakupe mwelekeo ndugu..