kuna totoz kibao za SUA hapaMsalimie huyo dada hapo
Uko karibu na hayo mataa ya blue blue ?Nipo bongoland nchi ya Nyerere mkoa wa morogoro palipojaliwa miradi miwili mikubwa reli ya sgr na Nyerere dam only kama vitakamilika nipo msamvu kijiwe kipya naona kinaitwa starpark msamvu ila tusijuane wala usije inbox sina hela ya bia .
Ipo msamvu mitaa gani nami nitie timu nicheki warembo wa chuoNipo bongoland nchi ya Nyerere mkoa wa morogoro palipojaliwa miradi miwili mikubwa reli ya sgr na Nyerere dam only kama vitakamilika nipo msamvu kijiwe kipya naona kinaitwa starpark msamvu ila tusijuane wala usije inbox sina hela ya bia .
Chadema watapingaNipo bongoland nchi ya Nyerere mkoa wa morogoro palipojaliwa miradi miwili mikubwa reli ya sgr na Nyerere dam only kama vitakamilika nipo msamvu kijiwe kipya naona kinaitwa starpark msamvu ila tusijuane wala usije inbox sina hela ya bia .
Patam sana mkuu hapo, ukitoka nje unakula bus ka kwenda popote utakapoNipo bongoland nchi ya Nyerere mkoa wa morogoro palipojaliwa miradi miwili mikubwa reli ya sgr na Nyerere dam only kama vitakamilika nipo msamvu kijiwe kipya naona kinaitwa starpark msamvu ila tusijuane wala usije inbox sina hela ya bia .
Samaki kama kaanza kuyumba.Wana vita kubwa ya kibiashara na samaki spot hao watu
Wale wajasiliamiili wakihama tu, kwisha habari yake.Samaki kama kaanza kuyumba.
Samaki imekufaWanaweza wakapafunika samaki spot?
Aaa babu kiwanja hicho kina taa kama zote...Mataa ya blue hakuna hapa mzee baba au unatest location
Dah! Msamvu pa hovyo kweliNipo bongoland nchi ya Nyerere mkoa wa Morogoro palipojaliwa miradi miwili mikubwa reli ya SGR na Nyerere dam only kama vitakamilika nipo msamvu kijiwe kipya naona kinaitwa Starpark Msamvu ila tusijuane wala usije inbox sina hela ya bia .