kapistrano
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,244
- 453
wana chit chat hope mpo poa leo nipo safari natokea arusha naelekea sgd safari hatia sala zenu muhimu sn.
kwanza useme umepanda gari gani usisahau namba ya gari.ili tukisikia puu¡ì tujue ulikuemohumo.safari nyema ukifika njia panda wasalimie wauza karanga mchemsho
Usituzingue, Arusha - Sgd mkeka mtupu na mabasi ya njia hiyo yako pina
Angalizo usifanye vikao vya harusi hadi usiku wa manane.
Kila kheri katika safari yako, mungu akuongoze.
"Ni vyema afya zetu tuka zilinda zaidi ya wallet"
Mtei gari kimeo sana, hope wamelitengeneza.