inasikitisha.......mi chichemi wala chiongei!!! hivi hili soko la EA si limegusa hata sekta hii??
Soko limeigusa sekta hii kwa sana, mimi hapa nitaelekeza juhudi zangu pande za Rwanda huko.....Kigali, Butare, Gitarama kitaeleweka tu!
inasikitisha.......mi chichemi wala chiongei!!! hivi hili soko la EA si limegusa hata sekta hii??
UUjana ni zamu fulani, muda ukipita haurudi kwa hiyo kila mtu anapaswa autumie wa kwake vizuri. Sasa kama mtu alitumia ujana wake anavyojua yeye hadi sasa kawa mama wa miaka 34 anataka kumng'ang'ania kijana wa watu hiyo kwa kweli siyo fair. Yaani yeye ujana alitumia na nani anataka kumsukumizia mwenzie expired product?Mafataki utawajua tu! una uhakika gani kuwa hawa wadada wanaotoa ushauri ni wazee waliojichelewesha.
Uzuri ni kwamba hakuna mtu atakayeishi maisha ya mwenzie.Endeleeni na 'ujana' wa kipumbavu lakini apandacho mtu ndicho atakachovuna!
What goes around comes around!
Ujana ni zamu fulani, muda ukipita haurudi kwa hiyo kila mtu anapaswa autumie wa kwake vizuri. Sasa kama mtu alitumia ujana wake anavyojua yeye hadi sasa kawa mama wa miaka 34 anataka kumng'ang'ania kijana wa watu hiyo kwa kweli siyo fair. Yaani yeye ujana alitumia na nani hadi saa hizi anataka kumsukumizia mwenzie expired product?Mafataki utawajua tu! una uhakika gani kuwa hawa wadada wanaotoa ushauri ni wazee waliojichelewesha.
Uzuri ni kwamba hakuna mtu atakayeishi maisha ya mwenzie.Endeleeni na 'ujana' wa kipumbavu lakini apandacho mtu ndicho atakachovuna!
What goes around comes around!
una umri gani bwana mdogo?...
naogopa sana kumshauri mtu ambae naamini atakuwa chini ya 25....!
halafu mie ckujua 34 yrs tayari mtu umekuwa ajuza, mbona ninafanya kazi na wakaka wana 34 n above na hawajaoa nao ni maajuza au ina apply kwa wanawake tu?
Ajuza mwengine! Ni suala la takwimu tu ndugu yangu, unapoambiwa kuwa kuendesha gari mwendo kasi husababisha ajali, haina maana kuwa wote walioendesha mwendo kasi walipata ajali, na bado inasisitizwa mwendo kasi unaua, upo hapo? Risk ya kuzaa 'mapoza' kama unavyowaita inakuwa kubwa zaidi umri huo, sasa why take the unnecessary risk wakati unaweza kuchagua vizuri tu?toa ushauri na si ku sahauri mtu kwa kutumia mawazo ya mtu binafsi, ikiwa umri mzuri kupata ujauzito ni miaka 35, unataka kuniambia kuwa wanawake wote wanaozaa wakiwa na umri wa miaka zaidi ya 35 wanafanya makosa? ama wanzaa mapoza? mbona wengine tumezaliwa mama zetu wakiwa ni watu wazima na hakuna athari zozote, ama wewe ulizaliwa na kibinti? na kama ulizaliwa na kibinti basi kilibakwa, maana usitake kuniambia binti aliyeolewa akiwa na miaka 26 na katika ndoa yake amebahatika kupata watoto 7 wote aliwa zaa under 38 to 35
Mzee wa kike huitwa ajuza, kwa hiyo hapo una jibu kuhusu wanaume. Halafu wanawake ndiyo wanayo shelf-life au 'use by date' ya mapema kuliko wanaume. Usishangae huyo mwanaume unaefanya nae kazi ana miaka 34 anaweza kuoa msichana wa 25 na bado ikawa poa tu, tena baada ya miaka 3 tu unakuta wanalingana kabisa. Mie kaka yangu ameoa 4 years ago akiwa 36 na shemeji alikuwa 27, lakini huwezi amini ukiwaona leo wanalingana kabisa kama age-mates! No kuoa ajuza, big no!
:violin:
Mie nilioa nikiwa na 45 na mke wangu 42 - She is still looking young 10 years later!
afadhali!!
dogo skia bana...naona unachanganyikiwa na issue ndogo hiyo..WANAUME WOTE TULIO-OA TUNA NYUMBA NDOGO..sasa hapo wewe fanya hivi...mpige mimba huyo mwenye presha zake za kuolewa ila USIMUOE...oa mtu mzima wako ila utamweleza baada ya kumwoa kuwa ulikuwa na kicheche m1 states ukamtia mimba ATAKUELEWA...si unajua hawa mama zetu waelevu sana...huyo akishazaa mtoto atakuwa nyumba ndogo na bi mkubwa wa 34 mzeiya anakuwa wife...au unasemaje?...
pia dogo suala la umri kwenye mahusiano ni deal sana...sahivi nimegundua watu wazima ndio wenye xperience ya kutosha ya mapenzi...i don think unataka upate mke bikra uanze kumfundisha hata tundu la kuingizia nanilihiii...unahitaji mzoefu mkiingia uwanjani anapiga mpaka shibobo, ukaaapamani, sisarrri...NAAMINI UTAKUWA UMENIELEWA KIJANA.
dogo skia bana...naona unachanganyikiwa na issue ndogo hiyo..WANAUME WOTE TULIO-OA TUNA NYUMBA NDOGO..sasa hapo wewe fanya hivi...mpige mimba huyo mwenye presha zake za kuolewa ila USIMUOE...oa mtu mzima wako ila utamweleza baada ya kumwoa kuwa ulikuwa na kicheche m1 states ukamtia mimba ATAKUELEWA...si unajua hawa mama zetu waelevu sana...huyo akishazaa mtoto atakuwa nyumba ndogo na bi mkubwa wa 34 mzeiya anakuwa wife...au unasemaje?...
pia dogo suala la umri kwenye mahusiano ni deal sana...sahivi nimegundua watu wazima ndio wenye xperience ya kutosha ya mapenzi...i don think unataka upate mke bikra uanze kumfundisha hata tundu la kuingizia nanilihiii...unahitaji mzoefu mkiingia uwanjani anapiga mpaka shibobo, ukaaapamani, sisarrri...NAAMINI UTAKUWA UMENIELEWA KIJANA.
Mtu B hapa issue si uajuza wa one of wadanganyikaz, issu e hapa ni huyu jamaa asiye muaminifu, asiyejielewa wala kujitambua anataka nini kwenye maisha yake.
mbele ya macho yangu hustahili kumuoa hata huyo binti wa 26 yrs..........jitafakari na ujue what do you exactly want in life.
mwisho wa siku unaweza ukawakosa wote kwa taarifa yako!!!