Nipo njia panda

Mie nilioa nikiwa na 45 na mke wangu 42 - She is still looking young 10 years later!

Hapo kaka nakupa hongera sana maana mlikutana wa rika moja, ndio maana mmeweza kutunzana vizuri hadi mnaonekana kama ulivyosema. Sasa hebu imagine mkeo angekuwa 51 ulipokuwa 45 ingekuwa vipi? Mlivyooana nyie wa rika moja ni swadakta kabisa
 
mtu B

huwajui waliooa vijana na wakashindwa kuzaa?

basi bora tumpe ushauri wa asioe mpaka mwanamke awe mjamzito..................na mimba ikitoka jee?

Ishu haiishii kwenye kuzaa tu, kuna suala la kushindwana shauri ya generation gap. Ajuza hafai bana.
 
Sikujua kama wapo wengi hivi! Ushauri wa kuoa ajuza ni wa kuuogopa kama ukoma na ukimwi!

Huyo wa 26 hata kama anataka mimba ni haki yake, ndio wakati wake. Huyo wa 34 hata ukimpa hiyo mimba atakwenda kiliniki na labour akiwa 35 akakutane na wa miaka 20 mbona aibu! Halafu hapo ni kama ana bahati ya kuipata hiyo mimba. Na wataalamu wanatuambia umri unaofaa kupata mimba usizidi 35, sasa niambie kaka unataka kuchukua kitu siku ya expiry date?

Hapa ni oldies wanatetea oldies wenzao ili tuzoee tuone ni kawaida, lakini kamwe haifai. Ni sawa na gays wanavyojitahidi kutushawishi kuwa ndoa zao ni sahihi, na wanalisema mara nyingi na kupiga kelele sana ili baadae izoeleke na kukubalika kama ambavyo tumeona.

Ndoa baina ya kijana na ajuza haikubaliki, napinga kabisa. Hao wakaolewe na wazee wenzao wafarijiane kimtindo. Lakini kama ni suala la kumega tu, poa, lakini kuoa itakula kwako kaka.

On this advise, if I was to make a choice I would go for the mature one if this is the kind of myopic thinking represented in terms of age as a basis of argument. Aisee kazi ipo....

The issue is not choice between the 2 women its values, and not of the 2 women lkn thread starter...
 
kuomba au kutaka ushauri ni hatua nzuri uliochukua... kwani ni busara na ni wachache sana ktk dunia ya leo watu hukurupuka tuu na kuwaacha wenziwao njia panda wew c mtongozaji kam walivyosema awal bal ulionyesha hisia zako za kweli ka yule ulompenda tangu school...hukumwanbia mpaka muda ukatoeka na kupoteana.ila hisia zako zilijitokeza mara tuu ulipokutana nae.na huku nyuma ulijichanganya na mmama huyo kuona kwamba hujui tena wapi mtakutana na mwenzi wako huyo...lamuhimu ni kutaka kufuata mimba kwa binti huyo ni ghofu aliojenga kwanini hukurudi africa livu????????imempelekea mawazo mengine kabsaa..mim kma mim nakushauri kumueleza ukweli tuu huyo wa miaka 34 na kumpa mkasa mzima bila kumficha utumie neno msamaha na kuomba muendelee na urafiki wa kawaida bila wa miaka 24 kutmbua nin kimeendelea...ili kunusuru penzi lake kushuka kwako..na kuto kuamini ndan ya ndoa mnayotarajia bila shaka utatekeleza na kupata matokeo mazuri ....nakutakia kila la kheri my best....japo ni wa mwisho kutoa maoni yang nilikuwa nikikfikiri nin ufanye kukupa msaada...wish you all da best............
 
Ishu haiishii kwenye kuzaa tu, kuna suala la kushindwana shauri ya generation gap. Ajuza hafai bana.

hilo neno kweny red hapo, unalitumia vibaya sana, sijajua ni kwa kiasi gani unalijua maana yake halisi,
ama ni usasa wa lugha? ama lah! maana ajuza sifikirii kama anaweza hata kuwa ktk hali ya kuweza kutamaniwa, hebu fuata kamusi au tafuta wataalamu wa lugha hii adhimu ya kiswahili wakupe nini maana ya ajuza,
maana unaonekana umelikariri tu pasi na kujua matumizi yake hivyo kuweza kudhani linaingia kila pahala
 
Sasa mkuu Zimbo,
hao wachumba wawili huwa hawaingii humu JF? maana naona umetoa maelezo ya kutosha kiasi cha wao kujijua endapo watasoma thread yako. Ningependa kama kwenye maelezo yako ungejutia makosa uliyofanya/unayofanya kwanza badala ya kusingizia nguvu za kimapenzi.
 
Sasa mkuu Zimbo,
hao wachumba wawili huwa hawaingii humu JF? maana naona umetoa maelezo ya kutosha kiasi cha wao kujijua endapo watasoma thread yako. Ningependa kama kwenye maelezo yako ungejutia makosa uliyofanya/unayofanya kwanza badala ya kusingizia nguvu za kimapenzi.
inawezekana kabisa ni member wa JF:lie:
 
wewe huna msimamo kabisa, wote umekubali wakutambulishe kwa wazazi na ndugu zao ndio upate nini?? hivi wewe uko tayari kuoa? sio lazma uoe kwa sababu huyo wa pili anataka ...duh!! chunga ukimwi baba!
 
On this advise, if I was to make a choice I would go for the mature one if this is the kind of myopic thinking represented in terms of age as a basis of argument. Aisee kazi ipo....

The issue is not choice between the 2 women its values, and not of the 2 women lkn thread starter...

Hata wewe unashabikia dogo akalostishwe na ajuza? Huyo wa 34 anapaswa akaolewe na wale aliotumia nao muda wake wa ujana, au basi angalao watu wa umri kama huo, na si kumlostisha kijana wa watu.
 
hilo neno kweny red hapo, unalitumia vibaya sana, sijajua ni kwa kiasi gani unalijua maana yake halisi,
ama ni usasa wa lugha? ama lah! maana ajuza sifikirii kama anaweza hata kuwa ktk hali ya kuweza kutamaniwa, hebu fuata kamusi au tafuta wataalamu wa lugha hii adhimu ya kiswahili wakupe nini maana ya ajuza,
maana unaonekana umelikariri tu pasi na kujua matumizi yake hivyo kuweza kudhani linaingia kila pahala

Vyovyote, lakini ninachomaanisha tu kuwa huyo mama keshakuwa mkubwa, hayuko tena kwenye ujana huyo ni kikongwe, kwa hiyo inafaa aolewe na watu wa rika yake ndio wataendana, amwache kijana wa watu afurahie maisha na kijana mwenzake kama na yeye alivyoyafurahia ya kwake hadi kufikisha hiyo miaka 34. Si haki hata kidogo, yaani umri ule wa mautamu kala na wengine huko, sasa keshachuja ndio anataka ajisukumize kwa kijana mdogo huyo, ina maana yeye kijana mautamu atafaidi lini? Ni kutafutiana matatizo tu.
 
Fanya maombi, jifungie peke yako ikibidi siku nzima ukitafakari juu ya maisha ya utoto hadi sasa, tafakari ndoto za baba unayetaka kuwa. Kwa sababu wote wawili unawafahamu ingawa wa kwanza (34) unamfahamu hadi nyumbani kwao. Rejea enzi za wazazi au mababu zetu, wanandoa walichaguliwa na wazazi. Kama wazazi wako wanafahamu umri na historia ya familia ya dada huyu vyema kiasi kwamba hawana tatizo na uhusiano wenu, kadhalika na upande wa wazazi wake kwako, nafikiri mnaweza kujaliwa familia nzuri kwa sababu, Wazazi ni wawakilishi wa Mungu duniani.

Na hata ndoa, huanzia kwenye familia. hakuna kanisa linalobariki ndoa ambayo wazazi hawajapokea mahali hivyo wanaobariki ndoa kwanza ni wazazi hivyo.

Huyu wa miaka 26 anasumbuliwa na tatizo la umri. wasichana wenye miaka 20 mpaka 26 wanasumbuliwa na kaugonjwa ka kutaka kuolewa. inawezekana kabisa hakupendi wala huna nafasi moyoni mwake ndiyo maana anaweza kumudu kupitisha siku hata nne - kwa mujibu wa maelezo yako- ila kuwasiliana nawe.

Anaweza kukuliza maisha yako yote, ukajuta na wakati huo wa 34 hatakuwepo for sure ukumtosa Mungu hatamwacha, atampatia riziko la moyo wake. inawezekana kabisa akachukia kuolewa na akaishi peke yake kama tunavyowaona wanawake wengi wanafanya. Itakuuma utakapokuwa unahangaika na ndoa isiyokuwa na amani. Lakini kikubwa ni kumshirikisha Mungu zaidi maana ndiye Mwanzilishi wa Ndoa.












Kuhusu umri katika hili kwa upande wangu umri peke yake siyo jambo la msingi kwa sababu,
Mungu ndiye mwanzilishi wa ndoa kwa sababu maneno katika vitabu vyake vitakatifu yanasema, Mwanamke aliumbwa kwa ubavu wa mwanamume hivyo ndiye anayejua ubavu wako wa kuume ulimuumba yupi. Hakika Mungu ndiye wa kukuambia na ukitafuta sauti yake katika hilo utaipata tu.
 
Back
Top Bottom