Nipo Njia Panda Naomba Mnishauri

Nipo Njia Panda Naomba Mnishauri

Hapa naona wengi mnanikejeli badala ya kutoa ushauri wa maana. Kiufupi hebu wewe jiweke kwenye nafasi yangu kisha mfikirie msela atajisikiaje akijua? Je mtaendelea kuwa masela?

Au jiweke kwenye nafasi ya msela, ujue kuwa rafiki yako wa karibu kabisa anatafuna yule mpenzi wako wa zamani tena anaemjua kuwa alikuwa shemeji yake.

Pimeni huo mzani ubalance mnishauri wakuu.
 
walai nakataa mi nishashiba michembe yangu konga liko juu anakuja dem kunirembulia kifala nimuache???
Labda ni tunatofautiana mkuu. Mimi nikijiweka mahali nakuwa serious sio ile chapa ilale, hayo mambo siwezi maana kuna maradhi.
 
Aisee sasa hapo unaomba ushauri wa nini wakat wao washaachana kitambo kirefu sana na sababu haikua ww hio iametokea bahat yako iendee ww endelea kusema sjui vaa viatu vyako mara sjui rafk yalo atajiskiaje uje ukose hata hela ya vocha
Hapa naona wengi mnanikejeli badala ya kutoa ushauri wa maana. Kiufupi hebu wewe jiweke kwenye nafasi yangu kisha mfikirie msela atajisikiaje akijua? Je mtaendelea kuwa masela?

Au jiweke kwenye nafasi ya msela, ujue kuwa rafiki yako wa karibu kabisa anatafuna yule mpenzi wako wa zamani tena anaemjua kuwa alikuwa shemeji yake.

Pimeni huo mzani ubalance mnishauri wakuu.
 
Walishaachana toka mkiwa chuo na alikuwa demu wa mchizi wako sio mchumba, hapo ulipo una magundi kitambo hujaosha rungu bibie kajileta mixer ulimbo upo.. nafikiri hauhitaji ushauri bali kofi la uso uamke
Ii comment daah
 
Walishaachana toka mkiwa chuo na alikuwa demu wa mchizi wako sio mchumba, hapo ulipo una magundi kitambo hujaosha rungu bibie kajileta mixer ulimbo upo.. nafikiri hauhitaji ushauri bali kofi la uso uamke
Hahahaha....mkuu umeua. Sasa hilo kofi si unaweza ukaleta madhara?
 
Kubali kataa huyo dem wa mchizi ulishamtafuna kipindi mkiwa chuo.
Sijawahi kumtafuna mkuu zaidi ya ukaribu wetu uliotokana na urafiki wangu na jamaa yake huyo enzi hizo. Kiasi ilikuwa kuna mda nakaa nae alone tunapiga story tu kawaida hata kama jamaa hayupo
 
Sasa kama umeshasema anajiamin atakunasa sababu ya mawe unataka ushaur gani tena?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom