asante mkuuKwangu mimi huwa simsogelei msichana ambae amembwato na mtu ninaye mjua iwe rafiki, kaka, jirani ama yeyote yule mwenye ukaribu na mimi akisham'mbato msichana ninae mjua huyo msichana siwezi kumsogelea kamwe....
Ila fanya kile ambacho moyo wako unakutuma si unajua
AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO
We kama una nyege mtie bana, vitu vingine huwa havihitaji ushauri kama umepanga kumtia hata tukikushauri na bunduki mikononi utamla, KWANI WE UMEPANGA VIPI?ushauri ni muhimu mkuu
Mpaka sasa sijapanga chochote maana ni kitu ambacho sikuwa natarajia mkuu. Ndio maana naomba ushauri kwenu nisije kufanya maamuzi ambayo naweza kuja kuyajutia baadaeWe kama una nyege mtie bana, vitu vingine huwa havihitaji ushauri kama umepanga kumtia hata tukikushauri na bunduki mikononi utamla, KWANI WE UMEPANGA VIPI?
Binti kauzu wewe! HahahaWe kama una nyege mtie bana, vitu vingine huwa havihitaji ushauri kama umepanga kumtia hata tukikushauri na bunduki mikononi utamla, KWANI WE UMEPANGA VIPI?
Sidhani kama hiyo ni relevant mkuu ila kama umesoma uzi vizuri utaelewa
Kama unajisikia kumla mleMpaka sasa sijapanga chochote maana ni kitu ambacho sikuwa natarajia mkuu. Ndio maana naomba ushauri kwenu nisije kufanya maamuzi ambayo naweza kuja kuyajutia baadae
Utajisikiaje siku ukiliwa na shemeji yako?Kama unajisikia kumla mle
Kama nafsi haikubaliani na hilo acha
Ntajisikia rahaUtajisikiaje siku ukiliwa na shemeji yako?