Annie X6
JF-Expert Member
- Mar 16, 2023
- 405
- 750
Hii ni hatari sana maisha yamebaka vibaya na ninachosshuhudia kwenye group la mshkaji anayetarajia kuoa hivi karibuni huwez aamini.
Wadau wanachanga kwa kwenda mbele. Yaani ni mwendo wa kupunguza na kutoa ahadi mm ni kama siamini.
Hapa ndio pale ninapoamini watu tunatofautiana. Watu wanakazi zao na mapesa wanajua kuyagawa. Sisi wengine sijui tatizo ni nini. Wakuu hii ni ngumu kumeza.
Ingawa najua kasoro kuu kwangu Sina nidhamu ya pesa. Lkn sio kwa hela hizi.
Cha ajabu zaidi ukikatiza mitaa jamaa wanaporomosha mabangaloo. Yani ni kujengaa majumba kea kwenda mbele.
Wadau wanachanga kwa kwenda mbele. Yaani ni mwendo wa kupunguza na kutoa ahadi mm ni kama siamini.
Hapa ndio pale ninapoamini watu tunatofautiana. Watu wanakazi zao na mapesa wanajua kuyagawa. Sisi wengine sijui tatizo ni nini. Wakuu hii ni ngumu kumeza.
Ingawa najua kasoro kuu kwangu Sina nidhamu ya pesa. Lkn sio kwa hela hizi.
Cha ajabu zaidi ukikatiza mitaa jamaa wanaporomosha mabangaloo. Yani ni kujengaa majumba kea kwenda mbele.