Nipo Kariakoo naona bonge la Wingu

Nipo Kariakoo naona bonge la Wingu

Usepe uende wapi?.
Hapo hamna kitu mikwara Tu.

Pana uzi hapa unakuhusu mjomba:


Mzaha mzaha hutumbua usaha.
 
WIZI MTUPU
Pana uzi hapa unakuhusu mjomba:


Mzaha mzaha hutumbua usaha.
 
Usepe uende wapi?.
Hapo hamna kitu mikwara Tu.

Pana uzi hapa unakuhusu:


Mzaha mzaha hutumbua usaha.
WIZI MTUPU

Ungesema ni vita vya kiuchumi ungeeleweka zaidi kuwa ungali awamu ya tano na rais wako ni mh. jiwe.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kanunueni Konyagi kabisa mnywee ndani maana unaweza kudumbukia kwenye madimbwi
 
Huko Hawaii ilikuwa wakiona Tufani wanachukua Wasichana wadogo na kwenda kuwatupa kwenye Volcano ili Kimbunga kisilete Maafa

Ujinga ni shida. Nchukuma na wenzake wanadhani ujinga ndiyo werevu. Wanataka kwa maguvu ya misuli ya mwili kutuaminisha hivyo.

Hiiiiii bagosha!
 
Endeleeni kudanganya nyana
Pana uzi hapa unakuhusu:


Mzaha mzaha hutumbua usaha.

Ungesema ni vita vya kiuchumi ungeeleweka zaidi kuwa ungali awamu ya tano na rais wako ni mh. jiwe.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Daah aisee nimesikia taarifa kuwa kinapunguza kasi bora iwe hivyo kwa kweli Mungu atusaidie kiepushwe mbali kisilete madhara kwa kweli...
Kila kinavyokaribia kasi yake inapungua na pia uelekeo kinaweza kisije kabisa huku kikaelekea zake Mozambique
 
hakuna kimbunga ni kaupepo tu kadooogooo
 
Msiogope,Mungu alishailinda Tanzania tangu anaiumba.
Location yetu ni safe zone kwa haya madude.
Malaika wetu anatulinda na mengi sana anaitwa EQUATOR(IKWETA).
Huyo Jobo anavyoikaribia latitude 6 degree(bandari ya salama) lazima alegee mwenyewe.
Tutapata vimvua tu vya hapa na pale labda...eimeen.[emoji4]
Kwa hiyo wanakopata vimbunga hawana Mungu

Sema waafrika sisi ni wajinga Sana [emoji23]

No offense to you mkuu
 
Ungemalizia kabisa pale - kwa hisani ya beberu. Tungeamini kabisa kuwa huyu beberu katupania kweri kweri tukakaa mkao wa kupambana naye.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Beberu kamuondoa Baba J halafu katutumia Kinyamkera.

Tumtafutie Mganga wa Bagamoyo au Sumbawanga tumrudishie kitu chake haraka sana!
 
Hahaha walokole bwana !
😂😂mbona mnanisolola wakubwa.sio dini ni sayansi ya ikweta hiyo.
Labda Mtwara kidogo wawe careful lakini Dar ipo latitude 6 degree ni mahali pabishi kwa kimbunga kusustain wind force sababu ya kitu kinaitwa coriolis effect.
Hiyo ni some kind of inertia force inasababisha kimbunga kizunguke due to curved surface ya dunia at north and south.
Unapokaribia ikweta hiyo coriolis inapungua sana na kuwa weak kiasi cha kushindwa kusustain wind speed na factor nyingine zinazotengeneza kimbunga sababu at equator surface ya dunia ni kama flat(center of the sphere).
Ndio maana historically maeneo yaliyo within or close to latitude 5 hayana historia na haya mavitu.Kwa location yetu huwa yanatoka huko southeast indian ocean yanavutwa northwest towards dar,kilwa..yakianza kuikaribia 6 degree latitude yanatia huruma!jobo anaishia kwenye mabeseni nawaambieni andaeni mapipa ya kutosha😊😁😂🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom