Kufa hata wewe utakufa
Kabisa nitakufa. Hilo ninalijua na sina taabu nalo hata kidogo.
Ila hatari ya wazi inayokubalika sitaikimbilia.
Vinginevyo hospitali za nini basi jombi?
Kufa hata wewe utakufa
Utaweza hata kukiona Mzee unaondoka na paa lako bora kipunguze nguvuWatu wanatamani kukiona wewe unasema kipunguze nguvu. Huo ni wivu
Kimelegea tayari!🤣chezea ikweta wewe!nimewaambia tayarisheni mabeseni wakubwa😂😂TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI _ Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa taarifa mpya leo April 24, 2021 kuwa Kimbunga Jobo kimepunguza nguvu kwa haraka mara baada ya kuingia kwenye mazingira yenye mzunguko wa upepo kinzani. “Kwa sasa Kimbunga Jobo ni kimbunga hafifu kinachosafiri kwa kasi ya kilometa 18 kwa saa Baharini, hata hivyo kitasababisha mvua kubwa katika maeneo machache ya Ukanda wa Pwani leo na kesho na upepo huo utasababisha mawimbi makubwa Baharini”———TMA.
Sasa huu ndio utopolo gani
Kwani Jobo anasemaje haji tenaMafia huku ndo usiseme
Kabisa nitakufa. Hilo ninalijua na sina taabu nalo hata kidogo.
Ila hatari ya wazi inayokubalika sitaikimbilia.
Vinginevyo hospitali za nini basi jombi?
kwani yeye hajaenda hospital au kafia porini?
Hawa ni wasukuma au wanyakyusatulia hukoView attachment 1762473
Ndo nimeelewa ile point ya importance of equatorial zone?Msiogope,Mungu alishailinda Tanzania tangu anaiumba.
Location yetu ni safe zone kwa haya madude.
Malaika wetu anatulinda na mengi sana anaitwa EQUATOR(IKWETA).
Huyo Jobo anavyoikaribia latitude 6 degree(bandari ya salama) lazima alegee mwenyewe.
Tutapata vimvua tu vya hapa na pale labda...eimeen.[emoji4]
Yep!🤗Ndo nimeelewa ile point ya importance of equatorial zone?
huyu kwani anaongea nini??Alisikia kuna Corona hakuchukua tahadhari zozote. Alichuuzwa kuwa Corona imeamuliwa kuondoka au kuishi kwa adabu naye akaamini.
Hospitali hakwenda bali alipelekwa katika hali gani? Mimi na wewe twaijuaje naye sasa hayupo kuisifia mvua?
Hiiiiii bagosha.
huyu kwani anaongea nini??
Kije tukione alafu kipunguze nguvu kikiwa kwetuUtaweza hata kukiona Mzee unaondoka na paa lako bora kipunguze nguvu
Hawa ni wasukuma au wanyakyusa
Na tunywe beer....TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI _ Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa taarifa mpya leo April 24, 2021 kuwa Kimbunga Jobo kimepunguza nguvu kwa haraka mara baada ya kuingia kwenye mazingira yenye mzunguko wa upepo kinzani. “Kwa sasa Kimbunga Jobo ni kimbunga hafifu kinachosafiri kwa kasi ya kilometa 18 kwa saa Baharini, hata hivyo kitasababisha mvua kubwa katika maeneo machache ya Ukanda wa Pwani leo na kesho na upepo huo utasababisha mawimbi makubwa Baharini”———TMA.
Hii TMA ya kwetu huwa siiamini kabisa,sijui kwanin hataa.....TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI _ Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa taarifa mpya leo April 24, 2021 kuwa Kimbunga Jobo kimepunguza nguvu kwa haraka mara baada ya kuingia kwenye mazingira yenye mzunguko wa upepo kinzani. “Kwa sasa Kimbunga Jobo ni kimbunga hafifu kinachosafiri kwa kasi ya kilometa 18 kwa saa Baharini, hata hivyo kitasababisha mvua kubwa katika maeneo machache ya Ukanda wa Pwani leo na kesho na upepo huo utasababisha mawimbi makubwa Baharini”———TMA.