Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,894
- 1,251,914
wana taarifa robo robo ndo maana hawaaminiki
Hii TMA ya kwetu huwa siiamini kabisa,sijui kwanin hataa.....
Hii TMA ya kwetu huwa siiamini kabisa,sijui kwanin hataa.....
Alienda hospital gani?,si mlikuwa mmefungia hapo chato mpaka alipozidiwa...kwani yeye hajaenda hospital au kafia porini?
Alienda hospital gani?,si mlikuwa mmefungia hapo chato mpaka alipozidiwa...
Endelea kuomba majanga mkuuKije tukione alafu kipunguze nguvu kikiwa kwetu
Kaa mbali na bahari yasijekutokea kama JapanMafia huku ndo usiseme
Unasubiri wakati we upo sehemu salama acha kutuzinguaBila Picha
Uko ndio wimbi litakapoanziaNipo kunduchi tena karibu na baharini jua kali
Hatari ukistuka upo nungwi afu ushakunywa jaba moja la majiKinakuja kwa speed ya Altezza TRD jipangeni[emoji13][emoji13][emoji13]
Dah kweli mkuu au unatupa moyo tufe kijerumaniMpaka dakika hii tumeshakidhibiti kwa maombi, msiwe na hofu Watanzania,
#Kazi Iendelee
Mimi nimekuja Arusha kidogoUnasubiri wakati we upo sehemu salama acha kutuzingua
Nipo Pugu huku Dar nzima ikimezwa beach itakua PuguAnza kuondoka hayo maeneo mkuu kimbilia angalau Kimara kuko juu kidogo...
Kaa mbali na bahari yasijekutokea kama Japan
Unatupa moyo ukiwa Kakonko Kigomqhakuna kimbunga ni kaupepo tu kadooogooo
Dah Kwa huo upepo mkali nguo zinaweza chanika ukabakiwa na V.I.P na ukishangaa inapanda kifuani
Si unaona sasa kumbe umekimbilia MeruMimi nimekuja Arusha kidogo
Sijakimbia KimbungaSi unaona sasa kumbe umekimbilia Meru
Sio macho ni CCTV 24/7/365Yaani wewe bado unatoa macho duh
EimeeeeeenMsiogope,Mungu alishailinda Tanzania tangu anaiumba.
Location yetu ni safe zone kwa haya madude.
Malaika wetu anatulinda na mengi sana anaitwa EQUATOR(IKWETA).
Huyo Jobo anavyoikaribia latitude 6 degree(bandari ya salama) lazima alegee mwenyewe.
Tutapata vimvua tu vya hapa na pale labda...eimeen.[emoji4]
Bora upepo uje ukaushe nguo zangu.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI _ Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa taarifa mpya leo April 24, 2021 kuwa Kimbunga Jobo kimepunguza nguvu kwa haraka mara baada ya kuingia kwenye mazingira yenye mzunguko wa upepo kinzani. “Kwa sasa Kimbunga Jobo ni kimbunga hafifu kinachosafiri kwa kasi ya kilometa 18 kwa saa Baharini, hata hivyo kitasababisha mvua kubwa katika maeneo machache ya Ukanda wa Pwani leo na kesho na upepo huo utasababisha mawimbi makubwa Baharini”———TMA.