green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,304
- 35,850
Wakuu au ndio Kimbunga Job kimeshasogea tusepe
Wakuu au ndio Kimbunga Job kimeshasogea tusepe
Leo hampeleki chombo bahariniMafia huku ndo usiseme
Kweli aise acha nianze kuelekea sehemu salama huku bahari ipo karibu sana wimbi lisije kutua mtaa wa kongo likaenda kutumwaga bahariUkweli mchungu. Muda wa kusepa ni sasa. Hata kama kitapita salama, kuchukua tahadhari zote zinazowezekana ndiyo hekima yenyewe.
Hakuna hata mmoja yaani imekuwa kizaLeo hampeleki chombo baharini
Hakuna hata mmoja yaani imekuwa kiza
Daah aisee nimesikia taarifa kuwa kinapunguza kasi bora iwe hivyo kwa kweli Mungu atusaidie kiepushwe mbali kisilete madhara kwa kweli...Hakuna hata mmoja yaani imekuwa kiza
Bila Picha
Nipo kunduchi tena karibu na baharini jua kaliWakuu au ndio Kimbunga Job kimeshasogea tusepe
Mbona sio kimbunga cha kwanza unaambiwa hata Mwaka 1950 kilitokeaLocation yetu ni safe zone
Nipo kunduchi tena karibu na baharini jua kali
KunukajeMtwara yasemekana kimeshanuka.
Hiiiiii.
Mola wetu na akatujalie salama.
Yes,lakini ni very rare na mara nyingi athari zinakuwa zaidi kusini mwa nchi.(hicho unachosema kilipiga kusini mwa nchi).Mbona sio kimbunga cha kwanza unaambiwa hata Mwaka 1950 kilitokea
Kunukaje
Ukweli mchungu. Muda wa kusepa ni sasa. Hata kama kitapita salama, kuchukua tahadhari zote zinazowezekana ndiyo hekima yenyewe.
Kinakuja kwa speed ya Altezza TRD jipangeni😝😝😝Daah aisee nimesikia taarifa kuwa kinapunguza kasi bora iwe hivyo kwa kweli Mungu atusaidie kiepushwe mbali kisilete madhara kwa kweli...