Winga wa Kariakoo Pitia Hapa!

Winga wa Kariakoo Pitia Hapa!

Investaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2015
Posts
916
Reaction score
928
Habari mawinga wa kariakoo.

Kuna wazo nimepata la, ecommerce ila kwa njia ya WhatsApp Business, ambapo mteja anatafuta bidhaa husika mfano pazia na kukutana na mawinga wa hiyo bidhaa, winga wenye completion rate kubwa ya oda ndiyo anakuwa juu kwenye search engine.

Baada ya mteja kuchagua winga kutokana na bidhaa aliyochagua, analipia na pesa inabaki kwenye escrow hadi winga atume mzigo kwa mteja.

Hapa ndio naona kama kuna changamoto kubwa kwasababu mawinga wengi ni wako unga muda mwingi kwahiyo kukununua bidhaa inakuwa ngumu. Ila nimeweka hivyo ili kumlinda mteja na kutoa challenge kwa mawinga ambao wako serious na kazi, wawe na kibunda cha kununulia bidhaa pale tu anapopkea oda kutoka kwa mteja.

Nakaribisha maona kutoka kwa mawinga wa kariakoo...
 
Habari mawinga wa kariakoo.

Kuna wazo nimepata la ecommerce ila kwa njia ya whatsapp business, ambapo mteja anatafuta bidhaa husika mfano pazia na kukutana na mawinga wa hiyo bidhaa, winga wenye completion rate kubwa ya oda ndiyo anakuwa juu kwenye search engine. Baada ya mteja kuchagua winga kutokana na bidhaa aliyochagua, analipia na pesa inabaki kwenye escrow hadi winga atume mzigo kwa mteja. Hapa ndio naona kama kuna changamoto kubwa kwasababu mawinga wengi ni wako unga muda mwingi kwaiyo kukununua bidhaa inakuwa ngumu. Ila nimeweka hivyo ili kumlinda mteja na kutoa challenge kwa mawinga ambao wako serious na kazi , wawe na kibunda cha kununulia bidhaa pale tu anapopkea oda kutoka kwa mteja.

Nakaribiasha maona kutoka kwa mawinga wa kariakoo...
Be realist
 
Oh okay sw. Wanakuja
Kazi ni kipimo cha utu
 
Tufanye kazi za kufuja jasho kama
Kuchomelea
Kupaka rangi mageti
Saidia fundi
Na kadharika
 
0617170138 naomb niunge kweny group ls side hustle whatsapp km bdo lipo
 
Back
Top Bottom