Nipo Kariakoo naona bonge la Wingu

Nipo Kariakoo naona bonge la Wingu

Beberu kamuondoa Baba J halafu katutumia Kinyamkera.

Tumtafutie Mganga wa Bagamoyo au Sumbawanga tumrudishie kitu chake haraka sana!
Beberu atasingiziwa sana.

Mwendazake zake alikuwa busy kupanga mikakati ya mavuno dhidi ya walioukimbia ugonjwa asijue hata yeye ni mhanga kama wao.

Wetu wa bwagamoyo au sumbawanga Jobo wanadhani ni supika wetu mpendwa.

Hiiiiii bagosha!
 
Beberu atasingiziwa sana.

Mwendazake zake alikuwa busy kupanga mikakati ya mavuno dhidi ya walioukimbia ugonjwa asije hata yeye ni mhanga kama wao.

Wetu wa bwagamoyo au sumbawanga Jobo wanadhani ni supika wetu mpendwa.

Hiiiiii bagosha!
Eti Jobo wanafikiri ni Spika wetu.

Umepinda kuliko maelezo.
 
Sisi wachato tunaomba picha
tenor.gif


Ntwala hiyo yewa
 
Usiku wa leo unaweza kuwa mrefu kwa nyumba za Makuti

Ni vizuri kudhani nyumba zote mkuu.

Nyumba zetu hazikujengwa kuhimili hayo mawazoni.

Ndiyo maana kupuuzia mawazo ya kuhifadhi watu kwa muda salama kwenye majengo madhubuti hata kama ni ya taasisi ni jambo la kushangaza.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI _ Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa taarifa mpya leo April 24, 2021 kuwa Kimbunga Jobo kimepunguza nguvu kwa haraka mara baada ya kuingia kwenye mazingira yenye mzunguko wa upepo kinzani. “Kwa sasa Kimbunga Jobo ni kimbunga hafifu kinachosafiri kwa kasi ya kilometa 18 kwa saa Baharini, hata hivyo kitasababisha mvua kubwa katika maeneo machache ya Ukanda wa Pwani leo na kesho na upepo huo utasababisha mawimbi makubwa Baharini”———TMA.
 
Back
Top Bottom