Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Hahahahaha maajabutangu lini Sanawari kukawa kwa matajiri mkuu
Hahahahaha maajabutangu lini Sanawari kukawa kwa matajiri mkuu
Kule kwetu anaitwa "kondoo ulaya"Uzuri wa Morombo hata yule mbuzi wa Iringa anapatikana.
Haha mamaa a maamaa kimpala mpala kimpala palaa .... Mamaaa ya bana...Kunaa mjengoni maeneo ya olasit panaitwa mjengoni inapigwa sebeni ya makasii unaweza ukajua upo drc
...huko uchochoroni Kwa Saddam mbona Kwa hovyo kabisa mkuuNimeshangaa sana mkuu! Au kwa kuwa yupo Saddam auto spare!
Nazifahamu vizuri zote mkuu-haya niambie ipi Ndio Sanawari ya kitajiri hapo.sanawari ziko mara 2 kuna sanawari ya uzunguni mkuu,hiyo sanawari chini ya mataa mpaka AICC na Mt Meru hosp.
Heshima zako da Black woman-huyu atakuwa haifahamu Arusha hata kidogoHahahahaha maajabu
acheni kutisha watu shivaz tunaenda a simu za maana tu lakini hakuna unyang'anyi wa kiholela kama usemavyoUkafanye uchunguzi sehemu moja ipo mitaa ya Kaloleni panaitwa Shivaz. Muda huu watakuwa wanafanya usafi. Muda mzuri kuanzia saa mbili usiku. Nakutahadharisha tu uende na kisimu cha tochi.
Hili nalo ni ajabu lingine bora ungesema moshono mkutangu lini Sanawari kukawa kwa matajiri mkuu
Naona leo kwetu pasifiwa pa kishua hautakiHili nalo ni ajabu lingine bora ungesema moshono mku
Hivi mkuu inamaana ww niwasikunyingi sana au uwezi amini kwa Mara ya kwanza nilipaskia pinpoint sikuwahi kujua hiyo story ya jina lingineNjoo nikupe mmoja.
Mwanzo najua pinpoint iliitwa lemanyata na jengo pia lemanyata ila baadae wakaiita pinpoint night club baada ya flow mbili kufanywa club. Na kipindi hicho tunatoka kitaa tunasema twendeni lemanyata
Sanawari hapana kwa kweli bora sekei kwetuNaona leo kwetu pasifiwa pa kishua hautaki
Kwa hiyo unajiona ga wa kitambo kunizidi?Hivi mkuu inamaana ww niwasikunyingi sana au uwezi amini kwa Mara ya kwanza nilipaskia pinpoint sikuwahi kujua hiyo story ya jina lingine
Njeree uko usa picnic makao mapya nyuma ya jengo la NSSF karibu kabisa na Shivas jerojeroNJEREEZ BRISTO NAPICNIC ZIPO SEHEMU GANI
Najionaga mtu mzima sana loooh ,,,kumbe wapo mliokula chumvi nyingi hivooKwa hiyo unajiona ga wa kitambo kunizidi?