Nipo Arusha kikazi, uchunguzi wangu mdogo nimegundua yafuatayo...

Aaah, teknolojia hii, ngoja nipande hewani niwaview from google Earth...

r.png
 
Mpenzi msomaji,ikiwa ni wiki sasa nipo kikazi Arusha,mkoa wenye baridi na utulivu swadakta kabisa kama ujuavyo ''Tembea uone" nimegundua ya kua

1. Sio kila sehemu za kutembea kwa maringo kama ungalimited,uswahilini,daraja 2 hasa mida ya saa 2,3 na kuendelea

2. Baa nyingi za huu zimejaa wambulu,warangi,wanyaturu na wanyiramba na wanapakia bia balaa na ukizubaa wanaweza hata kukuuza mzima mzima

3. Kuna sehemu ya kuitwa kwa morombo ni maarufu kwa kuchoma nyama ni kama kikundi kimepanga mistari 2 huku na huku barabara katikati hapo mbuzi kwa siku wanachinjwa hata 800

4. Ukitaka kuanza maisha huku yakupasa ufikie uswahili na sio njiro,sanawari na sehemu nyingine za kitajiri wafaa

Nipo kwa morombo nasubiria mbuzi kidali+Salala kichomwe niendelee kunyonya taratibu

Kama ulishawahi kutembea maeneo haya hebu tupe udukuzi wako ulivyoudukua mkoa huu yaliyomo humu ndani

KARIBUNI SANA
Karibu matejoo bwana mdogo huku sisi hatukabi
 
Yaani kwa wiki moja tu umegundua yote hayo...ina maana huna job, na unadamka saa kumi na moja alfajiri unaanza kiguu na njia mpaka tano usiku?
 
Usisaha olmatejo mitaa ya kwagirik kuna pub inaitwa shauri moyo hapoo unavumbua zakalee tuu
 
Ungalimited kwa sasa hali ya uhalifu iko chini sana uswahilini ni ruksa kutembea mpaka usiku ukiongea na simu sanawari sio kwa matajiri kwa morombo Mbuzi ni kweli 100% sehemu pana shida ni ngarenaro bado wizi uko juu sana....karibuni darajambili kwa kina Mwamba Wa kaskaziniiii ..
 
Tahadhari kubwa nadhani ni condom mwambie mwenzako.
Arusha hamna sukari inayokubali kuliwa nyama kwa nyama a.k.a kutembelea rim,yaani ukiona sukari arusha imekubali kuliwa kavu basi mlaji baada ya miezi mitatu akapime
 
Nimeingia machinjioni nimekuta kondoo 99.9 asilimia wanachinjwa watu huku wanalishwa kondoo badala ya meee
Si kweli nyama ya kondoo ina ladha tofauti kabisa na mbuzi na mara nyingi kondoo kwa Arachuga uliwa na wamasai tena kwenye shughuli za kimila it is very rare kukuta nyama ya kondoo inauzwa hata buchani
 
Back
Top Bottom