Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,948
- 69,231
Karibu sana Arachugga Chalii
Sawa mkuu. nikija ntapita paleIende wapi....
Halafu mbona jina jipya hilo mwanzoni iliitwa lemanyata
Karibu aseeh...Sawa mkuu. nikija ntapita pale
Tahadhari kubwa nadhani ni condom mwambie mwenzako.Ukafanye uchunguzi sehemu moja ipo mitaa ya Kaloleni panaitwa Shivaz. Muda huu watakuwa wanafanya usafi. Muda mzuri kuanzia saa mbili usiku. Nakutahadharisha tu uende na kisimu cha tochi.
Ulikuwa unatumia dhana baada ya kupiga ulabu.Shivaz kuna malaya wa ukweli ndo kilikua kijiwe changu kile mida ya nite nagida ulabu plus totoz wa kimburu
Nimeshangaa sana mkuu! Au kwa kuwa yupo Saddam auto spare!tangu lini Sanawari kukawa kwa matajiri mkuu
Daby Mzee wa kupendwa na madem wa Jf!!Iende wapi....
Halafu mbona jina jipya hilo mwanzoni iliitwa lemanyata
Wanachata za visu viwembe wao huita maku
Njoo nikupe mmoja.Daby Mzee wa kupendwa na madem wa Jf!!
Me manyatta ni jengo linaitwa pin point ni club chalii!
Na watoto Wa Ngarasero muda mibovuUsisahau kuja leo Njereez Bistro un'goe mademu wa Makumira.
Ahsante ila 'aseeh' kwetu ni tusiKaribu aseeh...
Hadi wa Iringa anapatikana?? Basi hakufai.Uzuri wa Morombo hata yule mbuzi wa Iringa anapatikana.
Picnic wahudumu wana shifts kama manesi kukagua wagonjwa.... Toto zina paja Kama Kroiler iliolishwa ngano, lainiiiiiii...Ukitoka kwa Muoromboo nenda Mile stone pale Sakina ukanywe supu. Ukitoka hapo pitia pale Picnic,mkabalanna Shivaz ukapige safari za baridi na uchukue popo.