Nipeni ushauri kuhusu huyu mwanamke maana nipo njia panda

Yaani Kaka simu pia nikishamwambia nimnunulie lakini kama hataki hivii huwa namnunulia Zawadi kibao kumpa lakini demu haonyeshi shauku ya kuja kuchukua. Sometime nahisi labda sijui umri.
Hiyo hela ya kumnunulia huyo manzi simu mpe mama yako anunulie hata kakitenge apendeze mkuu upate baraka za mzazi, huyo demu piga chini ni kichomi sana anza upya mkuu mwache aende utakuja kuteseka sana mchuga mwezangu.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hapo kuna mawili bado ni fulish age au wew ndo tatizo ..... iko ivi mwanaume u atakiwa uonyeshe direction , principle namna unataka awe siyo swala la kusema tu nakupenda na yeye anakupend , huyo dada hujajua upande wa pili ya shilingi na wew hujajua kujiongeza
 
Hapo kuna mawili bado ni fulish age au wew ndo tatizo ..... iko ivi mwanaume u atakiwa uonyeshe direction , principle namna unataka awe siyo swala la kusema tu nakupenda na yeye anakupend , huyo dada hujajua upande wa pili ya shilingi na wew hujajua kujiongeza
Daah Kaka labda ufafanue kidogo
 
Habari zenu
Bila kupoteza muda Mimi naishi jijini Arusha, nimetokea kuwa katika Mahusiano na kadada kamoja hapa hapa Arusha. Mahusiano bado hayajawa deep kwani tuna muda mchache kama miezi minne. Kikubwa kilichonivutia Kwa huyu dada ni kwamba ni mpole, mkarimu pia ana hofu Sana na Mungu(huyu dada ni muslamu) Mimi ni mkristo katika kupiga naye Stori kuhusu kubadili dini dogo yupo tayari.

Kinachonishangaza Kwa huyu demu ni kwamba yeye anadai hana simu mara nyingi huwa anatumia namba za watu wake wa karibu hasa dada yake nilijaribu kupeleleza Kwa wenzake wakaniambia kuwa simu huwa wanamuona nayo. Hapa katikati nilikuja nikapewa namba yake ya simu na watu wake wa karibu (hakunipa yeye)ambayo nayo muda mwingi haipatikani lakini inapatikana Watsup tu japo pia siyo sana.

Pindi Ninapokuwa nachati nae Watsup huwa anajibu meseji sema taratibu Sana na juzi Kati huyu dada nilitoka kumuomba picha zake anitumie Watsup akasema atanitumia lakini mpaka Leo hajatuma. Muda huo bando Kwa màana ya vocha huwa namtumia (Bila kuniomba) lakini huyu demu hajawahi kusema ahsante.

Vipi kuhusu kumtumia pesa?. Mara nyingi huyu demu huwa namuambia nimtumie pesa kidogo ya kutumia lakini cha kushangaza huwa anakataa anasema "usijali" lakini pindi Ninapokuwa nae hivi ana Kwa ana nikimpa pesa anachukua Bila shida.

Usichoke tuendelee, juzi Kati nilimwona yupo online Watsup nikachat nae akajibu mtu mwingine ambaye alijitambukisha kuwa ni dada yake na laini ya simu ni yake. Pale pale nikawaza kuwa huyu demu huenda kweli hana simu kwani dada yake nilimpigia Watsup call voice alisema huyo mdogo wake hana simu na laini anayoitumia ni yake huwa Tu anamuazima dada yake Kwa muda ili achati Watsup.

Sasa kinachonishangaza Kwa sasa kuhusu huyu dada ni kwamba hajibu tena meseji zangu Watsup yaani akiwa online nikimtumia hajibu. Hapo awali kama nilivyosema niliwahi kumuomba anitumie picha zake kadhaa Watsup akadai atanitumia lakini hajawahi kunitumia lakini muda huo huo picha zake naziona akiwa anazituma kwenye status yake watsup.

Kwa mfano Jana usiku huyu dada alikuwa online Watsup akichati na kisha nikaona amposti picha zake kwenye status lakini nikimtumia meseji kibao hajajibu na meseji zinafika. Nimetafari Kwa kina zaidi kuhusu Hali hiyo nimekuja kuwa nahisi labda kwasasabu nilichati na dada yake ambaye aliniuliza kwamba kwenye laini ni yeye ni Mimi nilimwambia au kujitambulisha kwake kwamba Mimi ni rafiki wa mdogo wake na baadae nikamwambie amsalimie koz nampenda sana.

Hapo labda nahisi labda ndiyo sababu ya yeye kutokujibu meseji zangu Watsup labda alitaka iwe Siri??.Binafsi sijui.Huyu demu umri wake ni early 20s (miaka kama 20 au 21 hivi) Mimi nina miaka 30.Kuja kwenu wana jamii forums ni kuomba ushauri kwenu je huyu mwanamke anaweza kuwa mtu sahihi kwangu?

Kwa jinsi ambavyo nilivyoeleza kwani binafsi nimetokea kumpenda Kwa dhati dada huyu na sitaki kumchezea kwani nataka kumuoa kabisa lakini sasa Kwa hili kinachoendelea Mimi kinanichanganya kuhusu yeye japo huyu demu na yeye hapo awali alishawahi kuniambia kuwa ananipenda pia.Ushauri wenu jamani.Karibuni.
Kama mwanaume unatakiwa uangalie maisha yako kiuchumi, kuwa bize na mambo yako kiuchumi. Jaribu kuwa bize na kujipa furaha na utengeneze mazingira yako ya uzee na suala la mahusiano lipe 30%.
Usimbembeleze mwanamke, kumuonesha unampenda au kumjali. Mtongoze mwanamke akizingua, wala usimfuatilie piga chini, akija mpige chini. Katika maisha yako ya utafutaji wa ridhiki, atakuja kutokea mwanamke atakupenda na kukujali ila usimuoneshe unampenda wala upo bize naye.
Kingine mwanamke unayetakiwa kuingia naye kwenye mahusiano ni kuanzia miaka 25 na kuendelea hapo kidogo anakuwa amepevuka kiakili. Chini ya miaka 25, bado ana machaguo mengi sana ya wanaume na utoto mwingi.
Uwe na mtazamo wa kuwa unahitaji mwanamke wa kupata naye watoto tu na siyo kwa ajili ya mapenzi. Utaishi vizuri sana.
 
Habari zenu
Bila kupoteza muda Mimi naishi jijini Arusha, nimetokea kuwa katika Mahusiano na kadada kamoja hapa hapa Arusha. Mahusiano bado hayajawa deep kwani tuna muda mchache kama miezi minne. Kikubwa kilichonivutia Kwa huyu dada ni kwamba ni mpole, mkarimu pia ana hofu Sana na Mungu(huyu dada ni muslamu) Mimi ni mkristo katika kupiga naye Stori kuhusu kubadili dini dogo yupo tayari.

Kinachonishangaza Kwa huyu demu ni kwamba yeye anadai hana simu mara nyingi huwa anatumia namba za watu wake wa karibu hasa dada yake nilijaribu kupeleleza Kwa wenzake wakaniambia kuwa simu huwa wanamuona nayo. Hapa katikati nilikuja nikapewa namba yake ya simu na watu wake wa karibu (hakunipa yeye)ambayo nayo muda mwingi haipatikani lakini inapatikana Watsup tu japo pia siyo sana.

Pindi Ninapokuwa nachati nae Watsup huwa anajibu meseji sema taratibu Sana na juzi Kati huyu dada nilitoka kumuomba picha zake anitumie Watsup akasema atanitumia lakini mpaka Leo hajatuma. Muda huo bando Kwa màana ya vocha huwa namtumia (Bila kuniomba) lakini huyu demu hajawahi kusema ahsante.

Vipi kuhusu kumtumia pesa?. Mara nyingi huyu demu huwa namuambia nimtumie pesa kidogo ya kutumia lakini cha kushangaza huwa anakataa anasema "usijali" lakini pindi Ninapokuwa nae hivi ana Kwa ana nikimpa pesa anachukua Bila shida.

Usichoke tuendelee, juzi Kati nilimwona yupo online Watsup nikachat nae akajibu mtu mwingine ambaye alijitambukisha kuwa ni dada yake na laini ya simu ni yake. Pale pale nikawaza kuwa huyu demu huenda kweli hana simu kwani dada yake nilimpigia Watsup call voice alisema huyo mdogo wake hana simu na laini anayoitumia ni yake huwa Tu anamuazima dada yake Kwa muda ili achati Watsup.

Sasa kinachonishangaza Kwa sasa kuhusu huyu dada ni kwamba hajibu tena meseji zangu Watsup yaani akiwa online nikimtumia hajibu. Hapo awali kama nilivyosema niliwahi kumuomba anitumie picha zake kadhaa Watsup akadai atanitumia lakini hajawahi kunitumia lakini muda huo huo picha zake naziona akiwa anazituma kwenye status yake watsup.

Kwa mfano Jana usiku huyu dada alikuwa online Watsup akichati na kisha nikaona amposti picha zake kwenye status lakini nikimtumia meseji kibao hajajibu na meseji zinafika. Nimetafari Kwa kina zaidi kuhusu Hali hiyo nimekuja kuwa nahisi labda kwasasabu nilichati na dada yake ambaye aliniuliza kwamba kwenye laini ni yeye ni Mimi nilimwambia au kujitambulisha kwake kwamba Mimi ni rafiki wa mdogo wake na baadae nikamwambie amsalimie koz nampenda sana.

Hapo labda nahisi labda ndiyo sababu ya yeye kutokujibu meseji zangu Watsup labda alitaka iwe Siri??.Binafsi sijui.Huyu demu umri wake ni early 20s (miaka kama 20 au 21 hivi) Mimi nina miaka 30.Kuja kwenu wana jamii forums ni kuomba ushauri kwenu je huyu mwanamke anaweza kuwa mtu sahihi kwangu?

Kwa jinsi ambavyo nilivyoeleza kwani binafsi nimetokea kumpenda Kwa dhati dada huyu na sitaki kumchezea kwani nataka kumuoa kabisa lakini sasa Kwa hili kinachoendelea Mimi kinanichanganya kuhusu yeye japo huyu demu na yeye hapo awali alishawahi kuniambia kuwa ananipenda pia.Ushauri wenu jamani.Karibuni.
Acha ujinga tafuta pesa
 
Habari zenu
Bila kupoteza muda Mimi naishi jijini Arusha, nimetokea kuwa katika Mahusiano na kadada kamoja hapa hapa Arusha. Mahusiano bado hayajawa deep kwani tuna muda mchache kama miezi minne. Kikubwa kilichonivutia Kwa huyu dada ni kwamba ni mpole, mkarimu pia ana hofu Sana na Mungu(huyu dada ni muslamu) Mimi ni mkristo katika kupiga naye Stori kuhusu kubadili dini dogo yupo tayari.

Kinachonishangaza Kwa huyu demu ni kwamba yeye anadai hana simu mara nyingi huwa anatumia namba za watu wake wa karibu hasa dada yake nilijaribu kupeleleza Kwa wenzake wakaniambia kuwa simu huwa wanamuona nayo. Hapa katikati nilikuja nikapewa namba yake ya simu na watu wake wa karibu (hakunipa yeye)ambayo nayo muda mwingi haipatikani lakini inapatikana Watsup tu japo pia siyo sana.

Pindi Ninapokuwa nachati nae Watsup huwa anajibu meseji sema taratibu Sana na juzi Kati huyu dada nilitoka kumuomba picha zake anitumie Watsup akasema atanitumia lakini mpaka Leo hajatuma. Muda huo bando Kwa màana ya vocha huwa namtumia (Bila kuniomba) lakini huyu demu hajawahi kusema ahsante.

Vipi kuhusu kumtumia pesa?. Mara nyingi huyu demu huwa namuambia nimtumie pesa kidogo ya kutumia lakini cha kushangaza huwa anakataa anasema "usijali" lakini pindi Ninapokuwa nae hivi ana Kwa ana nikimpa pesa anachukua Bila shida.

Usichoke tuendelee, juzi Kati nilimwona yupo online Watsup nikachat nae akajibu mtu mwingine ambaye alijitambukisha kuwa ni dada yake na laini ya simu ni yake. Pale pale nikawaza kuwa huyu demu huenda kweli hana simu kwani dada yake nilimpigia Watsup call voice alisema huyo mdogo wake hana simu na laini anayoitumia ni yake huwa Tu anamuazima dada yake Kwa muda ili achati Watsup.

Sasa kinachonishangaza Kwa sasa kuhusu huyu dada ni kwamba hajibu tena meseji zangu Watsup yaani akiwa online nikimtumia hajibu. Hapo awali kama nilivyosema niliwahi kumuomba anitumie picha zake kadhaa Watsup akadai atanitumia lakini hajawahi kunitumia lakini muda huo huo picha zake naziona akiwa anazituma kwenye status yake watsup.

Kwa mfano Jana usiku huyu dada alikuwa online Watsup akichati na kisha nikaona amposti picha zake kwenye status lakini nikimtumia meseji kibao hajajibu na meseji zinafika. Nimetafari Kwa kina zaidi kuhusu Hali hiyo nimekuja kuwa nahisi labda kwasasabu nilichati na dada yake ambaye aliniuliza kwamba kwenye laini ni yeye ni Mimi nilimwambia au kujitambulisha kwake kwamba Mimi ni rafiki wa mdogo wake na baadae nikamwambie amsalimie koz nampenda sana.

Hapo labda nahisi labda ndiyo sababu ya yeye kutokujibu meseji zangu Watsup labda alitaka iwe Siri??.Binafsi sijui.Huyu demu umri wake ni early 20s (miaka kama 20 au 21 hivi) Mimi nina miaka 30.Kuja kwenu wana jamii forums ni kuomba ushauri kwenu je huyu mwanamke anaweza kuwa mtu sahihi kwangu?

Kwa jinsi ambavyo nilivyoeleza kwani binafsi nimetokea kumpenda Kwa dhati dada huyu na sitaki kumchezea kwani nataka kumuoa kabisa lakini sasa Kwa hili kinachoendelea Mimi kinanichanganya kuhusu yeye japo huyu demu na yeye hapo awali alishawahi kuniambia kuwa ananipenda pia.Ushauri wenu jamani.Karibuni.
Lazimisha likukute jambo
 
Tafuta hela wanawake wengi watakufata hadi utawakimbia huyo unamngania nini embu fikilia mtu diamond, hamornize au fred vunja ni mwanamke gani akimtaka atamkataa shida yako unatumia nguvu kutafuta mtu sahihi wakati hizo nguvu zibadilishe kutafuya hela utakuja kupata watu sahihii
 
Kwanza din ni kisanga pili kwa maoni yangu huyo sim anayo vzr tu hujawah kujiuliza whatsp account ya dada yake anawekaje picha za kwake tu kama ulivyosema kuwa ulimpgia akapokea dada yake hio hata sio sabab ya kuamin hana cm me mtu anaweza kupga nkampatia mtu aliyeko karb ili amwambie kama ulivyoambiwa wewe usifkrie kwamba ukimuacha huyo hutapata mwingne wa kumpenda kama huyo mapenzi yanajengwa sio constant fanya uamzi kulingana na umri wako ingawa sijafkia huo umri but angalia penye kutumia akili usiweke hisia kuna kuvumilia na kupoteza muda kwenye uvumilivu lakn mwisho wa ushauri wote kuna maamzi yako binafsi #KILA_LAKHERI
 
Vibinti vya miaka chini 25 visumbufu sana,na hii ni kwa sababu vinatongozwa sana kwa hiyo wanahisi soko Lao liko juu,pia hata kiakiri vinakua havijapevuka na kua na utulivu na maamuzi,tafuta binti kuanzia 25 hao wanajitambua.
 
Back
Top Bottom