Nipeni sifa za wanawake wafupi!

Haaaahaaaa[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahhaa mm namuona kbs hubby anaringa na kimo chake..huwa namdandia mabegan kwa hasira..unaomba msaada kisa yy mrefu anakuambia hv wakat Mungu anaumba warefu ww ulikuaga wp lakini bas nandandia nimuangushe tu
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
OMG I laughed out loud
Eti kumdandia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie najijua mfupi..ila nikikutana na wafupi mm nakuwa tall[emoji23][emoji23]..bt mm mfupi...!kitu kama 156cm hv[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]!miaka hii ndo nimejikubali...huko nyuma ilikua mwendo wa heels..sasa hv aku[emoji111]
Wewe sio mfupi, mfupi ni below 150cm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…