Nipeni njia ya kumfukuza mwanamke

Nipeni njia ya kumfukuza mwanamke

una maana ya fair. kama ni ivo, nakwambia kuna kero ambazo kwa hali ya sasa zinaweza kusababisha matatizo makubwa yakapelekea kifo. bora kujitenga ma mtu wa aina hiyo
Ha haa kumbe hii cm ilibadili maana eeh... Na sikurudi nyuma kuangalia hata

Sasa hivi mahusiano yanazidi kua kilio kikuu

Wewe unaweza ukawa unapenzi la kweli ila hujui pa kuwekeza

Yule nae analo huba la dhati mtu wa kumkabidhi na kulipokea na kulitunza ikawa mtihani...

Tunapenda tusipopendwa

Na tunapendwa tusipopenda

Wote tuko mzungukoni ila tunapishana mpaka kukutana na mwenzako mwenye uhitaji kama wako sio kazi ndogo
 
Ha haa kumbe hii cm ilibadili maana eeh... Na sikurudi nyuma kuangalia hata

Sasa hivi mahusiano yanazidi kua kilio kikuu

Wewe unaweza ukawa unapenzi la kweli ila hujui pa kuwekeza

Yule nae analo huba la dhati mtu wa kumkabidhi na kulipokea na kulitunza ikawa mtihani...

Tunapenda tusipopendwa

Na tunapendwa tusipopenda

Wote tuko mzungukoni ila tunapishana mpaka kukutana na mwenzako mwenye uhitaji kama wako sio kazi ndogo

Umeongea kweli Tina tunapishana na mitazamo pia wewe unapokuwa serious na mtu yeye anachukulia upendo wako for granted , unapokuwa unamuona yeye ni mume yeye anakuona mpango wa kando . Maisha yamebadilika hayana usawa hata unapokuwa umejituliza nae hupepesi jicho kuangalia nje yeye kakazana kukulaumu na kuona unaigiza inachosha na kuumiza
 
Kwangu siwezi kukushauri namna ya kuachana na mkeo, wakati unamuoa ulimshirikisha nani?
Kuwa mvumilivu, kuna wengine walimalizaga zaidi ya miaka 15 bila kupata mtoto sembuse wewe wa miaka mitano!
Yaa ni kwel kabisa
 
Umeongea kweli Tina tunapishana na mitazamo pia wewe unapokuwa serious na mtu yeye anachukulia upendo wako for granted , unapokuwa unamuona yeye ni mume yeye anakuona mpango wa kando . Maisha yamebadilika hayana usawa hata unapokuwa umejituliza nae hupepesi jicho kuangalia nje yeye kakazana kukulaumu na kuona unaigiza inachosha na kuumiza
hivi siku hizi Kuna true love mm sijui kupenda kabisa na sijawahi huwa nikido namchukia gafla
 
Kuna mwanamke nimeishi nae miaka mitano kanisumbua kweli kweli mpaka nilimpata BP biashara hawezi, pia miaka mitano hajanizalia, ana kiburi balaa juzi kati kaenda kwao rukwa nimemwambia abaki huko huko simtaki tena sina ndoa nae wala sijamlipia mahari amekua mbishi haelewi kabisa mimi nipeni njia nimfanyeje anisahau.
Kosa moja haliach mke na kuzaa ni majaaliwa 2 ya mungu
 
hivi siku hizi Kuna true love mm sijui kupenda kabisa na sijawahi huwa nikido namchukia gafla

Umeshajiwekea mitazamo hasi kuwa siku hizi hakuna true love ina maana kila utakalofanyiwa hautaliangalia kwa sura ya uhalisia utaona mtu anakuigizia ili apate kitu toka kwako
Lakini kaka yangu /ndugu yangu mapenzi ya kweli bado yapo kuna watu wameweka hisia mbele wanajali furaha yao na sio vitu fulani
Mahusiano yako na huyo dada yamekwisha kufa na unaoneka haupo tayari kuyafufua . Mwambie ili uwe huru maana sasa wewe ni mtumwa
 
Waite masela Wamgonge MTUNGO.
Hatokusahau maisha yake yote..
 
Nlichoona hapo mleta mada hajielewi. .je anampenda huyo Dada au mapenz yamepungua kwakua hajamzalia mtoto hadi sasa pia kwakua sio productive kwamba hawezi hata kufanya biashara
Mana anajichanganya na sio muwazi...by the way ilikuwaje unaishi na bint wa watu miaka mi5 bila ndoa...na huyo dada ana wazaz kweli, wamemruhusu ahamie tu kwa mwanaume kiholela...dah kweli duniani ina mambo..
No wonder ndugu wanashindwa wakusaidie vipi. Hapa jf utapata kejeri tu na ushauri wa kupotosha mana wengi wetu busara hatuna na wengn hawapo serious hata kama ww upo serious.
 
Back
Top Bottom