ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,379
naomba namba mkuu @mansnipe kwa kuwa watu wa rukwa ni watamu sana. Naomba nikusaidie kumuondoa mikononi mwakouna akili mgando
naomba namba mkuu @mansnipe kwa kuwa watu wa rukwa ni watamu sana. Naomba nikusaidie kumuondoa mikononi mwakouna akili mgando
Mbaya zaidi jamaa akampachika mimba!! hiyo itakuwa vita Kali zaidi ya Israel na PalestineHujawa wazi ,kama ulimtoa usichana wake usitegemee kuachana naye,, lakini kama alitoka kwao kabanduliwa siri,, basi chukua ushauri wa jamaa hapo juu mlengeshe kwa jamaa zako wa karibu,, ila roho isikuume maana jamaa anaweza kula kweli mzigo ukaanza tena ugomvi.
huku huwez Pata ushauri watoto wengiHujawa wazi ,kama ulimtoa usichana wake usitegemee kuachana naye,, lakini kama alitoka kwao kabanduliwa siri,, basi chukua ushauri wa jamaa hapo juu mlengeshe kwa jamaa zako wa karibu,, ila roho isikuume maana jamaa anaweza kula kweli mzigo ukaanza tena ugomvi.
Jamani andikeni Kiswahili au Kiingereza au tuanzishe KiswaNglishiWithout marriage? I dont bless it... May be this is the reason why God didn't allow it for them to have kids together because iko kinyume na maandiko ... Jamani wakaka msiishi na women for those too long years without marriage... Women wengi hawasemi but the Truth is some of us mkiishi nasi muda mrefu bila malengo we got tired of it na tunaanza kuwadharau plus vituko on the top.. Women don't say it but that's the truth .. Thanks...
"Atamjibu.. mbona ninao pia"Mwambie una HIV
Nimecheka sana mkuu kwa hii commentKuwa mliberali,mwambie unataka kuolewa..
Nimecheka kwa nguvu na ni usiku lol! liberaliii!Kuwa mliberali,mwambie unataka kuolewa..
fear? Mmmhh!!!!Wakati mwingine wanaume hamko fear
Miezi 6 tu inatosha.Ki sheria ukikaa na mwanamke miaka 3 pika pakua huyo ni mkeo ki halali kabsaa mkuu
una maana ya fair. kama ni ivo, nakwambia kuna kero ambazo kwa hali ya sasa zinaweza kusababisha matatizo makubwa yakapelekea kifo. bora kujitenga ma mtu wa aina hiyoWakati mwingine wanaume hamko fear
Mkuu,My dear hawajaoana wala kulipiana Dowry... Thanks...
Duh e bwanaaaKuwa mliberali,mwambie unataka kuolewa..