Mkuu ningekuwa ni weye hilo wazo la kumwacha ningelifuta kabisa. Unaweza kujitapa huogopi kulogwa lakini utalogwa mpaka hiyo pua.
Umesema katoka wapi vile?? Weye umetokea huko au?? Cha kufanya, wekeaneni dau, atakaye muwahi mwenzake basi aliyewahiwa amtii aliye muwahi. Hivi hivi mkuu utakuwa boi wa mama shauri lako. Tulia tena uoneshe kumpenda ili kama ni kamchepuko akuruhusu mwenyewe umletee mtoto
Ahhhaahaaaahaaaa..... Jf never boring .. Thanks...