Nipeni mbinu katika hili wanajukwaa

Nipeni mbinu katika hili wanajukwaa

Tafuta perfume yake hafu jipulizie. Ila ukioga na ukavaa nguo chache au ambazo haujavaa muda mrefu hauwezi acha harufu.
 
weka pilipili nyingi kwenye mifuko ya suruali, pilipili huwa zinakata harufu..

ila kumbe nia yako ni kuiba..!? basi naomba ukamatwe red-handed..

Ameeen..!!
 
Ukiingia humo ndani kabla hujatoka kunya kisawa sawa akija arasikia harufu ya mavi hatojua nani kaingia atafocus na kutoa mavi
 
Aisee Maperfume yamejazana Dukani
Unasubir nini?
Maji ya kutosha oga uogavyo

Unasubiri nini?
 
Jipulizie dawa ya kuua wadudu...

Habari za jioni wanzengo katika jukwaa hili la habari na hoja mchangayiko Kuna mada nimeona nilete kwa wenzangu nyie, hivi ukitaka kuingia chumbani kwa Mtu lakini asije kuskia harafu ya mtu tofauti na yeye alieingia mnafanyanje,

Napiga hesabu nikaoge niingie mkavu kabisa asiskie harufu ya jasho Wala harufu nyingine tofauti na yake nitumie mbinu Gani wazee nawasilisha
 
Tafuta majani ya mmavi mavi uyasage uingie nayo
Weka ugoro dirishani
Juu ya kitanda na kwenye taulo na chupi zao weka upupu
Usiache kuja kunishukuru
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom