Wakuu habari zenu
Zaidi ya mwanamke kutuoa mimba njia nyingine ni ipi inayoweza sababisha mimba kutoaka!!?
nina shaka kama hilo ndo linatafutwa. Maana the end justify the means. Yaani hata sigusi hapa, naogopa dhambi ya bure. Mleta mada nisamehe kama nimekosea.unataka kutoa mimba?