Zamani nilikuwa napenda sana muziki wa rege watu wakaniambia eti navuta bangi. Nikabadilisha nikawa napenda sana Taarab watu wakaniambia huyu jamaa "si riziki" . Nikabadilisha nikawa napenda sana Blues wakaniambaie eti nina "msongo wa mapenzi" Sasa nawauliza walimwengu , nipende muziki gani ? Maana kila ninaoupenda utaambiwa hiki mara kile !