Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,043
Majanga#
Nilikuwa mkoani nikaenda bar kujipatia menu ya usiku kufika nikakaribishwa ma mtoto mrembo sana dah raha tupu akanihudumia mpaka mwisho tulipotoka akanipa namba.
Kesho yake asubuhi nikamcheck ili tuje tuvunje amri si unajua asubuhi ndo huwa wanapumzika, mtoto akaniambia akinipa papuchi nitampa nini nikamwambia aseme duh eti mtaji wa grocery wa m1 teh teh kweli wanawake wengi siku hizi wanategemea ngono kuishi!
Nilikuwa mkoani nikaenda bar kujipatia menu ya usiku kufika nikakaribishwa ma mtoto mrembo sana dah raha tupu akanihudumia mpaka mwisho tulipotoka akanipa namba.
Kesho yake asubuhi nikamcheck ili tuje tuvunje amri si unajua asubuhi ndo huwa wanapumzika, mtoto akaniambia akinipa papuchi nitampa nini nikamwambia aseme duh eti mtaji wa grocery wa m1 teh teh kweli wanawake wengi siku hizi wanategemea ngono kuishi!