Nipe mtaji wa grocery teh teh

Nipe mtaji wa grocery teh teh

Mpe mtaji aanzishe biashara.
sasa ww unataka hyo mali asili yake ikikosa watalii ataishije siku za baadae..and yawezekana anapenda kubadilisha biashara.
Atakuwa Anakusaidia bill ukifika grocery kwake kunywa..na pia utakuwa unadokoa kitumbua bila malipo.
 
hzo ndo fursa!ulitaka ale wapi sasa jamanii?tafakarii then chukua hatua!
 
alikukomesha siku hizi hakuna vya bure

Nyie madada wa kizaz kipya wanafanana na kinyonga .sura yake nzuri moyo wake yamejaa majanga .aisee ndio maana wanawake wote photocopy mawazo yao photocopy awana jipya ....million moja nikupe wewe ....kwa kamoja .....Katambikie kwanza.........
 
Ef tano tena mbona kubwa. Ndoo ya maji Sh 500, sabuni ya kuoga mshindi Sh 350 mafuta ya kujipaka madogo ef 1, toyo buku 2, zilizobaki uchakav'

anhaa wapi pozi la sbuni ya mshindi, mafuta ya kujipaka ya buku

sijui mafuta gani hayo
 
nyie madada wa kizaz kipya wanafanana na kinyonga .sura yake nzuri moyo wake yamejaa majanga .aisee ndio maana wanawake wote photocopy mawazo yao photocopy awana jipya ....million moja nikupe wewe ....kwa kamoja .....katambikie kwanza.........

kukojolea kapapuchi kake ndo iwe tabu
 
Nami nakuuliza swali bila pesa nifanye nini....na pesa ndio nini??Na mapenz nini????

hatutoelewana hapa maana unajifanya kuuliza vitu ulivo na majibu navyo tayari

ila alichokifanya huyo dada ni sawa tu na hata ningekuwa mimi ningekufanyia the same tu
 
hatutoelewana hapa maana unajifanya kuuliza vitu ulivo na majibu navyo tayari

ila alichokifanya huyo dada ni sawa tu na hata ningekuwa mimi ningekufanyia the same tu

Nyie ni vigeugeu maana mlishaona mmefungua duka kwenye miili yenu ,wengi wenu mkiwa na waswas na bidhaa dhenu ndio maana mnatanguliza mkwanja ...mie tayar nimeshawashitukia.....HAKATWI MTU HAPA.
 
Back
Top Bottom