Niondokee na mkono wako wa sweta

Niondokee na mkono wako wa sweta

Ptuuuuu!! Wanaume (sio wote) muwe na japo akiba kidogo ya aibu. Unatumia nguvu nyiiingi kumshawishi mwanamke. Unakubaliwa. Mnaenda hoteli, unalipia na unaagiza vinywaji.

Muda wa kujigijigi unafika, unavua nguo zako.. kumbe mkono wa sweta. Looo, hunipati ng'ooooooo

Kwendraaaaaaa

Mkono wa sweta ukilowekwa kwemye bwawa la mindu ni balaa tupu.
 
Ungekuwa ni mtoto wangu kwa hiki ulichoandika ningekubadilisha kwa sigara. Bora nivute sigara kuliko kuwa na mtoto mwenye akili kama yako.
 
Ptuuuuu!! Wanaume (sio wote) muwe na japo akiba kidogo ya aibu. Unatumia nguvu nyiiingi kumshawishi mwanamke. Unakubaliwa. Mnaenda hoteli, unalipia na unaagiza vinywaji.

Muda wa kujigijigi unafika, unavua nguo zako.. kumbe mkono wa sweta. Looo, hunipati ng'ooooooo

Kwendraaaaaaa
Ungejaribu kwa siku hiyo tu uone kama utamu ni ule ule au tofauti na zile ulizozizoea.
 
Ptuuuuu!! Wanaume (sio wote) muwe na japo akiba kidogo ya aibu. Unatumia nguvu nyiiingi kumshawishi mwanamke. Unakubaliwa. Mnaenda hoteli, unalipia na unaagiza vinywaji.

Muda wa kujigijigi unafika, unavua nguo zako.. kumbe mkono wa sweta. Looo, hunipati ng'ooooooo

Kwendraaaaaaa
Jamaa alikuwa govi sio?
 
Ikiwa mti mkavu unautendea hivi itakuwaje kwa mti mbichi?
............Sina shaka umemaanisha ule mti usioweza kuinua pump sawa sawa.

Ila na wewe mleta mada avatar yako naona kama umeweka picture yako halisi jiangalie JamiiForums ukishapandisha uzi huwezi kuutoa so isije baadae ukaja na uzi mwengine kutaka kujua namna ya kufuta thread ulizozianzisha.
 
Back
Top Bottom